Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
DsmUpo mkoa upi kka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DsmUpo mkoa upi kka
mtandao gani wanatoa hiiTsh 115,000 unlimited.
Kumbe tuko wengi Tunao-suffer kwenye hiki kifurushi matesoDaaah mimi hata sielewi ila najiungaga cha buku 3 cha wiki kinakaa siku mbili au tatu naunga tena.
Hii inakuwaje mkuuNatumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Tafuta hii airtel hao5000 GB 2.4 kila siku
Hii unaungaje?20,000 Gb 15, dk 600 airtel
laki gb 120!!! Airtel laki gb 200TIGO POST PAID/ MALIPO BAADA.
Kuingia kwenye Mfumo:
Whatsapp/ Piga : 0710535327
Njoo inbox nikusaidie, sikudai hata 100Hii unaungaje?
Piga/ Whatsapp: 0710535327.Tafuta hii airtel haoView attachment 2617066
Huu mtandao ganiNdugu Mteja, plani yako ya Dk2000 Mitandao yote+GB25+SMS500 kwa Siku30 kwa 30000Tsh imeunganishwa kikamilifu. Piga *102# kuangalia salio
*Mara 2
hahahah kwa nini usimweleze hapaNjoo inbox nikusaidie, sikudai hata 100
kinachohitajika ni namba yake ya simu sasa atawekaje namba yake public?hahahah kwa nini usimweleze hapa
Tuelezee zaidi inakuaje hii? Mbona ni nzuri sanaMimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Ikoje hii mkuu tupeane maujanjaNatumia proxy server nimehost mwenyewe, nalipia 10000 kila mwezi, unlimited.
Tuelezee in a layman's languageNi kawaida kama vpn au proxy software zinavyo tunnel connection, mfano ha tunnel, lakini hii nimehost mwenyewe siwezi share na mtu cause once ikiwa public isp wanafahamu na kuku block, kwenye server nimehost v2ray.
Mtandao gani huu mhandisi?Ndugu Mteja, plani yako ya Dk2000 Mitandao yote+GB25+SMS500 kwa Siku30 kwa 30000Tsh imeunganishwa kikamilifu. Piga *102# kuangalia salio
*Mara 2