Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

AIRTEL SME.
Gharama ya Activation ni 10000/= tu!
Piga /Whatsapp: 0710535327
 

Attachments

  • IMG_20230510_202842.jpg
    IMG_20230510_202842.jpg
    82.5 KB · Views: 25
TIGO POST PAID/ MALIPO BAADA.
Kuingia kwenye Mfumo:


Whatsapp/ Piga : 0710535327
 

Attachments

  • IMG_20230510_202413.jpg
    IMG_20230510_202413.jpg
    25.4 KB · Views: 15
Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.

Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Tuelezee zaidi inakuaje hii? Mbona ni nzuri sana
 
Back
Top Bottom