Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Halotel shida yao wezi wa mb yaan hapo tu ndio wananikera. Nachowapendea bando zao ukiunga hawakukati kama mitandao mengne yaan ukiunga bando jipya kabla la zaman halijaisha wanakuunganishia yote na muda unaongezeka ila sasa mb zinavyokatika utafurah yaan.Mie nataka nihamie halotel kumbe nao hawaeleweki 🫢
Sent using Jamii Forums mobile app