Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Mie nataka nihamie halotel kumbe nao hawaeleweki 🫢
Halotel shida yao wezi wa mb yaan hapo tu ndio wananikera. Nachowapendea bando zao ukiunga hawakukati kama mitandao mengne yaan ukiunga bando jipya kabla la zaman halijaisha wanakuunganishia yote na muda unaongezeka ila sasa mb zinavyokatika utafurah yaan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20230510_202413.jpg
    IMG_20230510_202413.jpg
    25.4 KB · Views: 12
Halotel shida yao wezi wa mb yaan hapo tu ndio wananikera. Nachowapendea bando zao ukiunga hawakukati kama mitandao mengne yaan ukiunga bando jipya kabla la zaman halijaisha wanakuunganishia yote na muda unaongezeka ila sasa mb zinavyokatika utafurah yaan.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na huuu wizi wameanza majuzi tu zamani hawakuwa hivi

Bora uhamie tigo tu kwa kina rostam tu huko ndo slope zaidi
 
Back
Top Bottom