last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Yuko mkoa ganiUnalipia 10k kujiunga na sme alafu vigezo vingine vinafuata
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko mkoa ganiUnalipia 10k kujiunga na sme alafu vigezo vingine vinafuata
Rahisi sana..very affordable nenda Ofisi za Tigo zilizo karibu yako beba ID yako na Copy ya Business License..utapewa Menu zao na kua enrolledDah Asante sana sikujua kama kuna hicho kitu muda mwingi niko vijijini halotel ndo inashika nakua sina chaguo ila Asante kwa kunipa ujanja ni muhimu niitafute
Je vifurushi vyake vya internet vipoje ni rahisi sana?
Dsm ila process zote unafanya kwenye simu yako mkuuu si lazima umfuate
Vitu gani unaongea msomi unaongea as if kwamba kila mtu anakusomaa an kukuelewaaNi kawaida kama vpn au proxy software zinavyo tunnel connection, mfano ha tunnel, lakini hii nimehost mwenyewe siwezi share na mtu cause once ikiwa public isp wanafahamu na kuku block, kwenye server nimehost v2ray.
Watu wanajua mambo mkuuVitu gani unaongea msomi unaongea as if kwamba kila mtu anakusomaa an kukuelewaa
Certificate Cha IT TU unasumbua hv
Wee ndio mchumi Kama mmSitumiagi TikTok kwaiyo la elfu tatu Kwa wiki angalau lina Kaa Kaa kama Siku nne hivi
VPN mtandao gan8000 Tsh kwa mwezi. Dkk 65+10SMS+520MB kwa 1500/sk 7 ×4 kwa ajili ya watssap na JF. SMS mwezi 1000. Kwengine natumia VPN.
Hii naifikiria sana ili niachane na bundles,smart tv inatafuna nando kama haina akiliYes mkuu unlimited kwa mwez
HalotelMtandao gani huu
45k mpaka 65kMimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Unaungwa na mtu. But ni tar moja hadi tar moja.Ikoje hii
Au laini yako ni tofauti. Kwangu hakunaHalotel
12000Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
TTCLVPN mtandao gan
Poa mkuu nasevu commentUnaungwa na mtu. But ni tar moja hadi tar moja.
kuwa makini
Hii inapatikana mtandao gani mkuu??Ndugu Mteja, plani yako ya Dk2000 Mitandao yote+GB25+SMS500 kwa Siku30 kwa 30000Tsh imeunganishwa kikamilifu. Piga *102# kuangalia salio
*Mara 2