Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halotel ni waizi wa kupindukia hao wakimbie maana unaendelea kupigwa na vitu vizito kichwani,,,, 😭😁😁😁
Nenda Tigo Shop watakupa utaratibu wote ni zoezi dogo sana beba ID yako ya Nida na Business LicenseTigo najiungaje postpaid?
Mtandao gani huu mkuu30,000 nalipoia gb 30 dkk 1500 na sms 1500
Mwezi mmoja.
Mtandao gani huu mkuu na itaratibu ukoje?Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
HalotelMtandao gani huu mkuu
Ngoja nijaribu.Halotel ni waizi wa kupindukia hao wakimbie maana unaendelea kupigwa na vitu vizito kichwani,,,, [emoji24][emoji16][emoji16][emoji16]
Voda ndo sitaki kuisikia kabisa
Basi we ndo basi tena mkuu ushaliwaTatizo eneo letu huku Airtel ni majanga
Sawasawa
Hii imekaa poa.Hamia AirtelView attachment 2614673
Tigo Business itakusaidia3,000 siku 2 na ikiisha tu naunga kwasababu ya eLearning kwahiyo mara 15 ni Tsh 45,000/=
Mie natumia 230k up to 250k per monthMimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.
Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Bure auHamia sme ya airtel mkuuu uache kuliwa kiboya [emoji16][emoji16][emoji16] chukua namba za huyu mdada akuunge chap 0689491969
Dah Asante sana sikujua kama kuna hicho kitu muda mwingi niko vijijini halotel ndo inashika nakua sina chaguo ila Asante kwa kunipa ujanja ni muhimu niitafuteTigo Business itakusaidia
Vodacom kuna Kasi internet inaanza na 50Tsh, 22GB with high speed + Unlimited kasi ya kawaida kwa mwezi mzimaMbona we unapata mserereko!! Mie Tshs. 50,000 naambulia 24 gb. Hiyo postpaid unajiungaje Vodacom?
Ikoje hiiHalotel
Unalipia 10k kujiunga na sme alafu vigezo vingine vinafuata
Mtandao gani huu30,000 nalipia gb 30 dkk 1500 na sms 1500
Mwezi mmoja.