Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Tar 1 naunga…
elf 35, Gb 17.5 voda
Elf 2.. sms
Elfu 10 dk 715
Total 47K

Gb zinakaa mpaka tar 19/20/21/22 baada ya hapo naanza mateso ya buku 3 3.
Siwezi kaa hata kwa dk 5 simu haina bando.

Narudi kule kule kwa almost 60-70k
 
Tar 1 naunga…
elf 35, Gb 17.5 voda
Elf 2.. sms
Elfu 10 dk 715
Total 47K

Gb zinakaa mpaka tar 19/20/21/22 baada ya hapo naanza mateso ya buku 3 3.
Siwezi kaa hata kwa dk 5 simu haina bando.

Narudi kule kule kwa almost 60-70k
Kama upo sehemu ambayo airtel inashika sajili laini halafu waambie wakuunge na sme! Ni nafuu sana
 
Tar 1 naunga…
elf 35, Gb 17.5 voda
Elf 2.. sms
Elfu 10 dk 715
Total 47K

Gb zinakaa mpaka tar 19/20/21/22 baada ya hapo naanza mateso ya buku 3 3.
Siwezi kaa hata kwa dk 5 simu haina bando.

Narudi kule kule kwa almost 60-70k
 

Attachments

  • IMG-20230505-WA0018.jpg
    IMG-20230505-WA0018.jpg
    16.6 KB · Views: 10
Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.

Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?
Aisee inabidi nipunguze natumia wastani wa 40,00/-50,000 Kwa mwezi harafu hakuna nachoingiza Cha maana Kupitia mitandao.
 
Back
Top Bottom