Unatumia mbinu gani kuepuka kodi (tax avoidance) bila kuvunja sheria za nchi?

Wajinga kama nyie ndio waliwao,we unashindwa kukamata vishoka wako wawili pale tra wakakupunguzia makadirio
 
Wewe ni fala sana, unazani ninachilipwa kinaendana na Kodi ninayotoa ,
Wq
 
Ukitakankuwa Huru na kufanya biashara endelevu lipa Kodi.... Watakudanganya hapa wafanyabiashara uchwara hapa ujikaange na TRA. Nina uzoefu Sasa hivi Niko Huru na biashara inaenda wasa na Kila niliomba KAZI Nina confidence maana nikipeleka document zimenyooka. Dai risiti Kwa Kila manunuzi halafu file
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…