Yah mkuu! Ni kama sabuni za jamaa zinazoketwa Tanzania ni grade 2. Ile grade 1 inabaki kulekule Kenya.
Kwanini?Nimekosa cha kuandika.
Revola was the best hizi kampuni sijui kwanini huwa zinakufa na kulikua na mafuta ya kupakaa ya YU na Yolanda
Kwanini?
Haya mamaNdio baba
Naunga mkono hojaMe nafikiri Imperial ni moja kati ya sabuni bora za kuogea kuwahi kutengenezwa kwa huku dunia ya 3
Dove zipo sema bei yake kubwa sh3000, ukiogea inanukia vizur kweliTofauti ipo aisee
Huwezi fananisha harufu ya hizo na Jamaa hata kama zote ni sabuni
Kuna Mzungu alikuja ''summer trip'' shuleni tukiwa O-level akatugawia sabuni ya Dove for men na ya Nivea ya shower gel moja moja kwenye chupa kama hiyo.
Ile Dove sijawahi kuonaga tena bongo hata kwenye S'market mpaka leo na ukiogea ina harufu nzuri sana na hata usipojipaka mafuta inakung'arisha kama vile umejipaka, na Nivea naonaga tu body lotion na face wash.
Sababu chini ya ile karatasi sio sabuni.Hivi kile kikaratasi cha kwenye "EMPERIAL" mbona huwa akiishagi au hakilowi na kuchanika! Utaoga weee utamaliza sabuni yako baada ya wiki 2 lakini kile kikaratasi pale kinabaki vile vile!
Mkuu sabuni inaitwa rungu, vipi sasa ukitaka kuosha makalio utaitumia kweli runguMimi wa uswazi Nilikuwa naogeshwa na mshindi mpaka nakua Nilikuwa na ongea mshindi nilivyoenda bording school nikaanza tumia sabuni ya rungu
Yolanda ilinukia vizuri sana