Unatumia sabuni gani kuogea?

Unatumia sabuni gani kuogea?

Naona viwanda vyao vimefufuka imekuja kwa jina jingine inaitwa sawa
Revola was the best hizi kampuni sijui kwanini huwa zinakufa na kulikua na mafuta ya kupakaa ya YU na Yolanda
 
Mimi wa uswazi Nilikuwa naogeshwa na mshindi mpaka nakua Nilikuwa na ongea mshindi nilivyoenda bording school nikaanza tumia sabuni ya rungu
 
Sisi tumetumia sabuni za mbuni, mshindi, komesha, komoa.
 
Tofauti ipo aisee

Huwezi fananisha harufu ya hizo na Jamaa hata kama zote ni sabuni

Kuna Mzungu alikuja ''summer trip'' shuleni tukiwa O-level akatugawia sabuni ya Dove for men na ya Nivea ya shower gel moja moja kwenye chupa kama hiyo.

Ile Dove sijawahi kuonaga tena bongo hata kwenye S'market mpaka leo na ukiogea ina harufu nzuri sana na hata usipojipaka mafuta inakung'arisha kama vile umejipaka, na Nivea naonaga tu body lotion na face wash.
Dove zipo sema bei yake kubwa sh3000, ukiogea inanukia vizur kweli
 
Hivi kile kikaratasi cha kwenye "EMPERIAL" mbona huwa akiishagi au hakilowi na kuchanika! Utaoga weee utamaliza sabuni yako baada ya wiki 2 lakini kile kikaratasi pale kinabaki vile vile!
Sababu chini ya ile karatasi sio sabuni.
 
Mimi wa uswazi Nilikuwa naogeshwa na mshindi mpaka nakua Nilikuwa na ongea mshindi nilivyoenda bording school nikaanza tumia sabuni ya rungu
Mkuu sabuni inaitwa rungu, vipi sasa ukitaka kuosha makalio utaitumia kweli rungu
 
Kwa jinsi watu walivoitaja hiyo jamaa nami nimetamani kuijua au kama nimeshawahi itumia bac nahisi nimechanganyikiwa kwa kushindwa kuivutia taswira.. picha pls
 
Back
Top Bottom