Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
ndio nzuri kila mtu asikieAisee,mbona call volume iko juu sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio nzuri kila mtu asikieAisee,mbona call volume iko juu sana?
Simu inaita kibosi zaidWimbo fulani una utulivu
😁😄😁Basi huo ndo muito waNguNimesikiliza audio yake ina beat kali[emoji3]
Tupe mada za watu wazima mkuluJamani kwani shule zimefungwa au wanafunzi wanaruhusiwa kwenda na sm shule siku hizi, au boom limetoka tayali vijana wanajaza bando tu nakuja na mada kama hizi
Lima matikikiti mkuu 😂😂Tupe mada za watu wazima mkulu
kuna kipindi niliweka sauti ndogo nina mtindo wa kuacha sim mbali yan nakua nayo mbali ukija missed call kama zote sasa nikaona isiwe shida[emoji3] aisee
😁😁😄Naomba mtaji mkurugenziLima matikikiti mkuu 😂😂
0756***** nipigie😂😂😂😁😁😄Naomba mtaji mkurugenzi