Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
Mtunga Swali umekosea, na huwezi kutumia Swali kama hili kupata maoni ya kiutafiti maana litakululetea majibu ambayo sio rahisi kutolea tafsiri.

Mfano aliye jibu hapana anaimanisha nini? Lowasa ahamie chadema na awe mwanachama wa kawaida, asihamie chadema kabisa, au ahamie lakini asiwe mgombea urais?
Mkuu,mbona swali liko wazi kabisa?!

Alafu utambue tu,issue kubwa si Lowassa kuwa mwanachama wa kawaida tu, bali issue kubwa hapa ni swala la Lowassa kugombea uraisi kupitia CHADEMA/UKAWA.
 
kwa kweli ninaumizwa sana na hili suala la Lowasa,bado naamini ni propaganda tu,nasubiri yatokee ili niongee na Mungu aipige laana kali Chadema
 
damu za waliopoteza maisha kwa sababu ya cdm zitawaangamiza wote wanaoinjinia huu mpango,ole wenu iwe kweli,mnakufa mkitembea
 
Mkuu,mbona swali liko wazi kabisa?!

Alafu utambue tu,issue kubwa si Lowassa kuwa mwanachama wa kawaida tu, bali issue kubwa hapa ni swala la Lowassa kugombea uraisi kupitia CHADEMA/UKAWA.

Hivi bandugu mnisaidie katiba ya Chadema kwa mfano kugombea nafasi yoyote kwenye chama unatakiwa uwe na muda gani katika chama?. Siafiki Kabisa Lowasa kugombea urais maana Rais yupo DR. Tayari
 
Mleta mada uko upande fulani, na graph ya hizi kura zinaopigwa hapa umezikea fomula flani (X+3). Ila ukipiga kura ya ndio, kura za no zinaongezeka kwa x+3. Tafadhali rekebisha, usitufanye wajinga,,,,

Hii Poll ni kwa hisani ya Moderator na tunapaswa kuwashukuru na si kuja na madai kama haya ya kufikirika tu na yasiyo na msingi.

Binasfi sina uwezo wa kufanya chochote kubadili matokea.
 
Last edited by a moderator:
Watu walikuwa wanapigwa mabomu na kuwekwa mahabusu kwa sababu ya Dr. Na sio Lowasa,tena yeye alikuwa kimya. Dr kawekwa rupango na kunusulika kufa halafu yeye aje kupewa kwenye sahani? Awekwe lupango na ccm na kupigwa mabomu ndio tutuelewa vinginevyo ni mnafiki tu.
 
Mkuu CDM hawawezi kufanya huu upuuzi, usiwe na wasi wasi. CDM has mothing to do with this poll or huu upuuzi unaoendelea hapa. Ukichunguza wengi wanaosema ndio ni watu wasioitakia mema CDM.

damu za waliopoteza maisha kwa sababu ya cdm zitawaangamiza wote wanaoinjinia huu mpango,ole wenu iwe kweli,mnakufa mkitembea
 
Ni mpuuzi tu na mwendawazimu ndio anaeweza kuwa na mawazo kama yako.

Unahangaika na Lowassa badala ya kuhangaika na maisha yako. Kila siku kufungua tu thread za Lowassa. Ina maana upo idle sana nini? Hii ni thread sijui ya ngapi unaanzisha kuhus Lowasa b-w-e-g-e wewe. Huyo Lowasa ni mzazi wako? Huwezi kuwa na akili ukawa unaanzisha thread za kijinga jinga kama hizi. Lowasa ashakuwa historia.
 
Apigwe mabomu kwanza ndio ajue tabu ya kuwa mpinzani sio Watu wamesota na kufia chama analeta matumaini Yake hapa. Siku zote alikuwa wapi kama alijua Rafiki Yake kamsaliti. Ajiunge kama mwanachama Wa kawaida tu. Vinginevyo waende ACT na akitia mguu ACT inapigwa zengwe na kufutiliwa mbali.
 
Gamba limevuka ndiyo!!!! Halafu dr slaa inabidi amuombe msamaha kwa kuitisha mkutano wa hadhara mwembe yanga amsafishe kama alivyo mchafua kwa kumwita fisadi lasivo upinza nchi hii ntaamini ni waganga jaa tu
 
Aje atupe maujanja jinsi walivyokuwa wakiiba kura zetu ili na sisi ukawa tukamate dollar
 
Back
Top Bottom