Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
Lowasa tafadhari tuache salama waache makomando wenyewe they will manage
 
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?

Jibu Ndio/Hapana/Sijui

Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.

Unatafuta kushughulikiwa. Kihere here kitakuponza.
 
Naunga mkono lowas kuchuana na kikwete uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm taifa
 
Ndiyoooooooooo mbona ccm wanasemaga ndio na sisi ndiyoooooo
 
Mtunga Swali umekosea, na huwezi kutumia Swali kama hili kupata maoni ya kiutafiti maana litakululetea majibu ambayo sio rahisi kutolea tafsiri.

Mfano aliye jibu hapana anaimanisha nini? Lowasa ahamie chadema na awe mwanachama wa kawaida, asihamie chadema kabisa, au ahamie lakini asiwe mgombea urais?

very good, una akili za kuzaliwa, umeongezea tu za kitabu
 
Hapana 200%

UKAWA kuweni na ; hamuwezi kumsema kuwa ni fisadi halafu leo mmkumbatie wakati CCM imshemavua gamba. Wananchi hawatawelewa tena huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom