Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
Hapanaaaa... Slaa anatosha mnooo. Tusimamie kile kinachojivunia, uadilifu!
 
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?

Jibu Ndio/Hapana/Sijui

Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.

Hivi Lowassa ni nani hasa kwenye siasa za Tanzania? Kama yeye mwenyewe alishindwa kujisafisha tangu alipolazimishwa kujiuzulu u PM, leo mnatarajia aje kujisafishia CDM? Yaani Uongozi wa CDM hata kutafakari tu kufanya mazungumzo na Lowassa ni kuisaliti CDM yenyewe na wanachama wake! Badala yake CDM inatakiwa kutafakari namna ya kumshughulikia Lowassa mpaka ataje na washrika wake wote washughulikiwe kisheria!
 
Hivi Lowassa ni nani hasa kwenye siasa za Tanzania? Kama yeye mwenyewe alishindwa kujisafisha tangu alipolazimishwa kujiuzulu u PM, leo mnatarajia aje kujisafishia CDM? Yaani Uongozi wa CDM hata kutafakari tu kufanya mazungumzo na Lowassa ni kuisaliti CDM yenyewe na wanachama wake! Badala yake CDM inatakiwa kutafakari namna ya kumshughulikia Lowassa mpaka ataje na washrika wake wote washughulikiwe kisheria!

Acha lawama,umeambiwa piga kura...
 
Mleta mada uko upande fulani, na graph ya hizi kura zinaopigwa hapa umezikea fomula flani (X+3). Ila ukipiga kura ya ndio, kura za no zinaongezeka kwa x+3. Tafadhali rekebisha, usitufanye wajinga,,,,
 
Mleta mada uko upande fulani wa HAPANA, na graph ya hizi kura zinazopigwa hapa umeziwekea formula flani (X+3). Kila mmtu akipiga kura ya ndio, kura za HAPANA zinaongezeka kwa x+3. Tafadhali rekebisha, usitufanye wajinga,,,,
 
Mleta mada uko upande fulani wa HAPANA, na graph ya hizi kura zinazopigwa hapa umeziwekea formula flani (X+3). Kila mmtu akipiga kura ya ndio, kura za HAPANA zinaongezeka kwa x+3. Tafadhali rekebisha, usitufanye wajinga,,,,

Moderator tunaomba ufatilie hii topic.Inapotoshwa na mleta mada.
 
Back
Top Bottom