tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,755
- 764
Hapana Kabisa. Asingekatwa? Kwanini hakuondoka mapema mpaka akatwe. Awe mwanachama tu. Chadema msicheze na akili za Watu. Binafsi sitaki kusikia kitu kama hicho. Yeye shame lakini Rais wetu tunaye naye ni Dr. Slaa.
Point...,