Sdebaseboy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 778
- 248
hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hafai na skendo ya ufidadi wakimuweka tu Lowasa Magufuli anakua Raisi saa tatu asubuhi. Ukawa wasijaribu hilo suala watajutraaaaa.Kwa nn hapana
Nafikiri iwepo poll ya kuunga mkono Lowassa kuhamia chadema tu, bila kuwa Rais
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?
Ndio
je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya chadema/ukawa endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu ndio/hapana/sijui
kura hii inawahusu pro-ukawa wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu Ndio/Hapana/Sijui
Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.