Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
Kwa mwanamabadiliko yeyote wa kweli atakubaliana na hili,kama ni kweli dhamira yetu ni kuitoa ccm madarakani
 
watanzania na hasa wanachadema mbona mnakuwa wapumbav namna hii, lowasa siku zote tumekuwa tukimpigia kelele kuwa ni fisadivila leo hii baada ya mbowe kuhongwa bilion kumi lowasa amrkuwa lulu, kama hiki ndio chama mbadala wa ccm ni bora tuenfelee kutawaliwa na ccm

Hivi Cybercrime bill haijaanza kufanya kazi?! Umeshuhudia waapi akipokea hiyo 10B?? Acha uzwazwa wewe
 
Am a kweli sikio la kufa halisikii dawa. Ugonjwa mpya umejitokeza CHADEMA huwo ni Ebola Lowasa na dawa yk ipo CCM .....P MAGUFULI
 
Kwa hiyo CHADEMA ndio chama cha kujaa magamba yaliyovuliwa na CCM?
 
Kwa mwanamabadiliko yeyote wa kweli atakubaliana na hili,kama ni kweli dhamira yetu ni kuitoa ccm madarakani

Mkuu kumbe we shida yako ni kuitoa ccm madarakani tu? Mi nilidhani unataka maendeleo.
 
Kwa hiyo wew ndo una uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kwa kumshabikia Lowassa? Mimi sio mpuuzi kama wewe wa kuweka matumaini yangu kwa wanasiasa. Kila siku lowasa Lowasa. Nchi hii ina matatizo mengi ya kujadili.Sasa mnkaa mnajadili mtu mmoja yeye ni Mungu kwni? asingekuwepo ungefanyeje. Get a life b-w-e-g-e wewe. Mnapoteza muda kujadili kuhama kwa wanasiasa kutoka chama kimoja kwenda kingine badala ya ku brainstorm constructive ideas kwa ajili ya nchi yetu. Huyo Lowasa mlikuwa mnamtukana leo mnamuona masihi. Yaani mpo tayari kufanya chochote ili mradi muingie Ikulu. Hamna tofauti na hao mnaotaka watoke Ikulu. Acha kupoteza muda Jamii forums kuandika ma topic ambayo hayawezi kubadilisha maisha yako.

Sasa si uache kujadili!!
 
No jamani. Maswali Kwa wananchi yatakuwa magumu kujibu. Mafisadi watazidi kuwa na nguvu endapo kiongozi wao atashindwa
 
Lowasa akigombea UKAWA siku ya uchaguzi hadi ikifika saa sita mchana Magufuli chali, tutashinda asubuhi na mapema.
 
Back
Top Bottom