Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
ndiooooooooooo.....


Najua hapa wale wana CCM wote watasema hapana...!!!

Ndio mkome sasa, anahamia Chadema na mamilioni ya wafuasi wake...yaani
 
Hapana 50% ndio %0%, Ahamia lakini asiwe mgombea Urais wala kiongozi, vinginevyo chama kitakatwa hata jina kabla halijafika kwa Wananchi.
 
NDIYOO....... Wanaosema ni fisadi kama wanao ushahidi wampeleke mahakamani sia kumsingizia.....
 
Hawa ndio watanzania waliopata bahati ya kusoma lakini sidhani kama elimu waliyoipata inawasaidi kutafakari na kuchambua mambo!

Mawazo yako ni ya karne ya 15 kurudi nyuma!
Kwa hiyo wew ndo una uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kwa kumshabikia Lowassa? Mimi sio mpuuzi kama wewe wa kuweka matumaini yangu kwa wanasiasa. Kila siku lowasa Lowasa. Nchi hii ina matatizo mengi ya kujadili.Sasa mnkaa mnajadili mtu mmoja yeye ni Mungu kwni? asingekuwepo ungefanyeje. Get a life b-w-e-g-e wewe. Mnapoteza muda kujadili kuhama kwa wanasiasa kutoka chama kimoja kwenda kingine badala ya ku brainstorm constructive ideas kwa ajili ya nchi yetu. Huyo Lowasa mlikuwa mnamtukana leo mnamuona masihi. Yaani mpo tayari kufanya chochote ili mradi muingie Ikulu. Hamna tofauti na hao mnaotaka watoke Ikulu. Acha kupoteza muda Jamii forums kuandika ma topic ambayo hayawezi kubadilisha maisha yako.
 
Ndioo Lowassa homa ya Jiji.
Kama ni kweli historia iliyoandikwa inatimia..upinzani wA kweli utatoka ndani ya CCM
 
watanzania na hasa wanachadema mbona mnakuwa wapumbav namna hii, lowasa siku zote tumekuwa tukimpigia kelele kuwa ni fisadivila leo hii baada ya mbowe kuhongwa bilion kumi lowasa amrkuwa lulu, kama hiki ndio chama mbadala wa ccm ni bora tuenfelee kutawaliwa na ccm
 
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?

Jibu Ndio/Hapana/Sijui

Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.



Ndioooooooooo
 
Back
Top Bottom