Upigaji kura hii nashauri ufungwe 10/8/2015 badala ya 07//09/2015 kwa sababu mbili kuu zifuatazo;
1. Ndiyo muda ambao kwa vyovyote vile vyama vyote vitakuwa vimemaliza michakato vya kupata wagombea wa uongozi wa kuchaguliwa kwa ngazi zote kwa maana ya udiwani, ubunge na urais. Na kwa mantiki hii ni kwamba tayari itakuwa imejulikana kama Edward Lowassa amehamia CHADEMA na kupata nafasi hiyo ya ugombea Urais au La!
2. Nature ya swali lenyewe kwamba "Unaunga mkono Edward Lowassa kuhamia CHADEMA na kugombea Urais".
7th September, 2015 tayari watu watakuwa katikati ya kampeni, hivyo kwa namna yoyote, swali hili litakuwa tayari out of date!
Vinginevyo mimi naunga mkono EL aje na si tu kuja bali aendelee na "Safari ya uhakika" na si ile "ya matumaini" tena.
Muhimu ni kuwa wajiridhishe pasipo shaka kuwa huyu bwana ana nia ya dhati kuleta mabadiliko ktk siasa za Tanzania na si kuwa kawa katumwa kuja kufanya kazi ya CCM ndani ya CHADEMA/UKAWA kuwasambaratisha km ilivyo hofu ya wengi!!