Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu Ndio/Hapana/Sijui
Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.
Hapana mwizi
ndioooooooo
vote now!NDIYOOOOOOOooooooooooooooooo............................
utayaona mafuriko baada ya lowasa kuanza kutambulishwa rasmi kama mgombea urais...binafs kulikuwa na mgongano sana ukawa kuhusu nani asimame kugombea kati ya lipumba na slaa......kama mwanachadema niliona upepo ulivyobadilika watu wengi wakisema watampigia kura magufuli lakini ubunge watawapa wapinzani lkn ule ulikuwa ni unafiki ....kwa sasa kibao kimegeuka kila kona ni lowasa.......kimsingi slaa asingeweza kumshinda magufuli