Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hukumwambia salamaleko?Kutafuta Uthibitisho Katika Inshu Za Mambo Ya Kiroho Inahitaji Juhudi.Kwa Mfano Mtu Anaweza Akawa Mchawi na Ni Kweli Mchawi Kweli Kweli Lakini Hauwezi Kuthibitisha Kirahisi.Mambo Ya Kiroho Ni Mambo Ya Sirini.
Kuna Siku Kwa Macho Yangu Naked Kabisa Nlishuhudia Mchawi Namuangalia Ananiangalia.Mwaka 2013 Hiyo Magomeni
Kuna mwanangu mmoja huko moshi anayo pesa sio kidogo , sasa mwamba anakidonda mguuni hakiponi kwa sababu jamaa ana sukari ya kupanda , sasa huko kitaa wanadai ana donda ndugu , ndio linamletea pesa na yeye amevunga tu ili wamwogope hata kuibiwa haibiwi kisa hiyo hofu😁😁😁Bado sijawahi kuwa na vielelezo visivyotia shaka kuhusu kutokea kwa hayo mambo.Huwa nasikia masimulizi tu au ushuhuda ambao nao sina hakika nao.
Huko ndiyo kuishi kwa akili sasa.Yaani inaitwa "mbele mbele yao"!Kuna mwanangu mmoja huko moshi anayo pesa sio kidogo , sasa mwamba anakidonda mguuni hakiponi kwa sababu jamaa ana sukari ya kupanda , sasa huko kitaa wanadai ana donda ndugu , ndio linamletea pesa na yeye amevunga tu ili wamwogope hata kuibiwa haibiwi kisa hiyo hofu😁😁😁
Ulishuhudia huyo mchawi kwa macho yapi mkuu yale ya kwenu ya kiroho au haya haya ya kawaida na ulijuaje ni mchawi?Kutafuta Uthibitisho Katika Inshu Za Mambo Ya Kiroho Inahitaji Juhudi.Kwa Mfano Mtu Anaweza Akawa Mchawi na Ni Kweli Mchawi Kweli Kweli Lakini Hauwezi Kuthibitisha Kirahisi.Mambo Ya Kiroho Ni Mambo Ya Sirini.
Kuna Siku Kwa Macho Yangu Naked Kabisa Nlishuhudia Mchawi Namuangalia Ananiangalia.Mwaka 2013 Hiyo Magomeni
Watu wanajidai hawafahamu haya mambo ndio maana wanakuja na nyuzi zao kujidai wanatafuta uhakika.Mimi namjua mmoja alikua rafiki wa mama yangu utajiri wake ni wa kutumia nyota za wafanyakazi wake
Ila ilipofika mwaka 2018 ikabidi amtoe mtoto wake na akafanya hivyo
Ashawahi kumshawishi mama yangu ajiunge huko mama akakimbia nduki na urafiki ukaisha.
Alikuja dar kama housegirl kutoka Upareni ila sasa hivi ni tajiri.
Kutafuta Uthibitisho Katika Inshu Za Mambo Ya Kiroho Inahitaji Juhudi.Kwa Mfano Mtu Anaweza Akawa Mchawi na Ni Kweli Mchawi Kweli Kweli Lakini Hauwezi Kuthibitisha Kirahisi.Mambo Ya Kiroho Ni Mambo Ya Sirini.
Kuna Siku Kwa Macho Yangu Naked Kabisa Nlishuhudia Mchawi Namuangalia Ananiangalia.Mwaka 2013 Hiyo Magomeni
Ebhan eh kwanza Ni Wanatisha Nilihisi Hii Movie Au Ni Nini..Yaan namshangaa Nayeye kanikodolea Ila Kun Vitu Kapaka Usoni.Aisee Nilikimbia Kurud Ndani Haraka Na Mkojo Wote UliishaHukumwambia salamaleko?
Nakumbuka nipo mdogo Moshi huko kuna nyumba moja ina mtoto/kijana ambae akili zake sio nzuri, yule kijana ilikuwa kila ikifika jioni ya saa 12 analia kama ng'ombe na kweli kwao wanafanya biashara ya kuuza nyama mjini /Dar na unaambiwa walikuwa wanauza balaa.Mojawapo ya story huwa nazisikia sana na mtu kuwatoa watoto wake au ndugu zake kafara ili afanikiwe katika biashara au siasa. Utoaji kafara huwa unaelezewa kwa mtu huyo aliyoetolewa kafara kufariki kwa kinachodhaniwa kifo cha utata au kupatawa matatizo ya akili(kichaa).
Unaweza kuonyeshwa kichaa fulani ukaambiwa huu ni mtambo wa kutengeneza pesa wa tajiri fulani au ndio chanzo cha mafanikio cha mwanasiasa fulani.
Unajuaje au unathibitishaje kwamba fulani amefanikiwa kwa sababu ya kafara ya mtoto, mzazi, mke au ndugu yake?
Acha uoga mkuu.Siku ingine unamuomba urafiki wa kalamu na namba ya simu kabisa in case of emergencies.Utakosa vitu vizuri!Ebhan eh kwanza Ni Wanatisha Nilihisi Hii Movie Au Ni Nini..Yaan namshangaa Nayeye kanikodolea Ila Kun Vitu Kapaka Usoni.Aisee Nilikimbia Kurud Ndani Haraka Na Mkojo Wote Uliisha
Imani kama hizi zinatakiwa kupigwa marufuku kwa nguvu zote kwa sababu zinasababisha vifo kwa watu wasio na hatia. I mean mtu akisikia hii imani, anakwenda kuua ndugu yake akitegemea kuwa atapata mafanikio.Mojawapo ya story huwa nazisikia sana na mtu kuwatoa watoto wake au ndugu zake kafara ili afanikiwe katika biashara au siasa. Utoaji kafara huwa unaelezewa kwa mtu huyo aliyoetolewa kafara kufariki kwa kinachodhaniwa kifo cha utata au kupatawa matatizo ya akili(kichaa).
Unaweza kuonyeshwa kichaa fulani ukaambiwa huu ni mtambo wa kutengeneza pesa wa tajiri fulani au ndio chanzo cha mafanikio cha mwanasiasa fulani.
Unajuaje au unathibitishaje kwamba fulani amefanikiwa kwa sababu ya kafara ya mtoto, mzazi, mke au ndugu yake?
Mkuu kwani hamjui pia mtu mwenye tatizo la akili anaweza toa sauti za wanyama? Hasa schizophrenia au autism?Nakumbuka nipo mdogo Moshi huko kuna nyumba moja ina mtoto/kijana ambae akili zake sio nzuri, yule kijana ilikuwa kila ikifika jioni ya saa 12 analia kama ng'ombe na kweli kwao wanafanya biashara ya kuuza nyama mjini /Dar na unaambiwa walikuwa wanauza balaa.
Jioni ndio mida ya kufunga biashara/hesabu!!
Kwa nini watu wanasema huyo ndugu chizi ametolewa chambo ili kulinda utajiri?Tuliishi Nyumba Maeneo Ya Kimara...Ile Nyumba Ni Kubwa na wapangaji Wengi.Sasa Mmiliki Wa Ile Nyumba Alikuwa Na Ndugu Yake Wa Damu Kabisa ni Ka Chizi Amewehuka.Yule bwana ndie aliekuwa ametolewa Chambo Kulinda Ule Utajiri.
Vipi na wale wafuga mbojo wa Iguguno mkuu?Ni tuhuma tu,ni ngumu kuthibitisha..tena shemeji zangu Wakinga ndio waathirika kweli wa huu UPUUZI...tufanye kazi,nidhamu bila kusahau kumuomba Mungu kwa dhati
Haiwezekani labda hilo tatizo la akili la huyo kijana linakuwa baya zaidi wakati giza linakaribia kuingia na kumpelekea kufanya hivyo?Nakumbuka nipo mdogo Moshi huko kuna nyumba moja ina mtoto/kijana ambae akili zake sio nzuri, yule kijana ilikuwa kila ikifika jioni ya saa 12 analia kama ng'ombe na kweli kwao wanafanya biashara ya kuuza nyama mjini /Dar na unaambiwa walikuwa wanauza balaa.
Jioni ndio mida ya kufunga biashara/hesabu!!
Mtu mwenye kichaa cha mbwa pia hulia sauti inayofanana na ya mbwa , ukisharukwa akili lolote linaweza kutokea ikiwemo na milio ya ajabu.Haiwezekani labda hilo tatizo la akili la huyo kijana linakuwa baya zaidi wakati giza linakaribia kuingia na kumpelekea kufanya hivyo?
Mchawi aliingia ndani milango yote na madirisha vikiwa vimefungwa?Kutafuta Uthibitisho Katika Inshu Za Mambo Ya Kiroho Inahitaji Juhudi.
Kuna Siku Kwa Macho Yangu Naked Kabisa Nlishuhudia Mchawi Namuangalia Ananiangalia.Mwaka 2013 Hiyo Magomeni
Yaani Umeamka Zako Usiku Unaenda Msalani Nje Ukutane Na Lijitu limepak mavitu meupe Usoni..halielewek..Unashangaa Nalo Limekukazia Macho utajiuliz Mara mbil mbil aliyeko mbele yangu Ni Nani?..Ulishuhudia huyo mchawi kwa macho yapi mkuu yale ya kwenu ya kiroho au haya haya ya kawaida na ulijuaje ni mchawi?
Wanapotoa habari ni washirika wenzake! Duniani hakuna siri ndg.Usiombe ufanikiwe kibiashara halafu bahati mbaya upate mtoto ana mtindio wa ubogo au ulemavu.
Wewe tayari jamii itasema umemfanya msukule.
Hahah haya Mambo Kama masihara Ila siku ukibahatika Kuona Vitu kama Hivi ndio utajua hujui aiseeAcha uoga mkuu.Siku ingine unamuomba urafiki wa kalamu na namba ya simu kabisa in case of emergencies.Utakosa vitu vizuri!