Unawafahamu watu waliofanikiwa kwa kuwatoa kafara watu wao wa karibu?

Unawafahamu watu waliofanikiwa kwa kuwatoa kafara watu wao wa karibu?

Nahisi kuna watu wanakufanyia kubisha ili waone kama matendo yao yatatajwa.

Mambo ya makafara yako kwenye kila jamii. Watu wa Asia hytoa sadaka kwa kuchinja mifugo na kuwapa maskini, n.k. ILa kwa sasa wabongo wamezidi kuchinjana asee! Ndio maana hata hizi ajali mbaya za barabarani serikali inaishia tu kutoa pole.

Hata kwenye miradi mikubwa, kama madaraja korofi kujengwa n.k, kuna namna viungo vya binadamu kama moyo m.k huwekwa ili mizimu iruhusu ujenzi.
Na jamii husika hutambua, na mtu aliyetolewa kafara hujulikana. Miaka ya 80 - 90 walikuwa wanamgonga mhuri kwapani. Hivyo askari au wazee wakikuta mhuri, wanasema ndg wakazike, na uchunguzi unaishia hapo hapo.
Hivyo wanakuteka njiani wanakuua?
 
Mimi namjua mmoja alikua rafiki wa mama yangu utajiri wake ni wa kutumia nyota za wafanyakazi wake
Ila ilipofika mwaka 2018 ikabidi amtoe mtoto wake na akafanya hivyo

Ashawahi kumshawishi mama yangu ajiunge huko mama akakimbia nduki na urafiki ukaisha.

Alikuja dar kama housegirl kutoka Upareni ila sasa hivi ni tajiri.
Wapare kwa ujumla wao ni ndumba kwa kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom