Top for B
JF-Expert Member
- Mar 4, 2023
- 803
- 2,796
Kiungo kinakua kinasaidia nini pale kuhusiana na hiyo mizimu?Yeah! Na wanapochimbia hicho kiungo wanaweza kujenga mfano wa jiwe la msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiungo kinakua kinasaidia nini pale kuhusiana na hiyo mizimu?Yeah! Na wanapochimbia hicho kiungo wanaweza kujenga mfano wa jiwe la msingi
Labda alikuwa anapendelea baiskeli ili afanye mazoezi au kuficha mambo yake kwa watoza ushuru wasimsonge songe au anabeba mizigo ya bangi n.kNamfahamu jamaa mmoja alikuwa tajiri sana enzi sisi tunakuwa jamaa alikuwa anatumia baiskeli tu kama usafiri wake binafsi ila alikuwa na magari mengi tu.
Ajabu alikuwa na hilux ya mizigo ila bidhaa za duka lake alikuwa anafuata yeye mwenyewe kwa baiskeli yake ila kwa wengine anakodishia hizo gari za kubeba mizigo.
Sisi tulizoea kumuita TAJIRI MCHAFU wananzengo walikuwa wanasema kamtoa sadaka mdogo wake na huyo mdogo mtu alikuwa chizi fresh anakaa hapo dukani kwa kaka yake tu na hakuna wakumtoa hapo.
Haya mambo yanawezekana ila nafikiri ni mateso sana.
🤣😅🤣😅🤣😅Labda ndugu zake waliwahi kwenda naye machinjioni milio ya ng'ombe ikakaa zaidi kichwani kwake.
Mganga wangu yupo everywhere, n wao tuu kumtafuta🫡🫡 Waelekeze ndugu zako kwa Huyo Mganga wako kindly.
Hakuna kabila ambalo sio bayaWapare watu wabaya sana
Always kuna evidence huwa inaachwa, but people are too lazy to pay anttention to itUchawi/viini macho sidhani kama huwa vinaacha ushahidi anuai wa kutolea vielelezo vya kufanyika.Those people are too clever & trickier to ones mind,hence playing a fool!
Tatizo linakuja kwamba kwanza unakuwa na hisia fulani kaenda kwa mganga(huna uhakika), unakuwa na hisia(huna uhakika)kwamba huyo mganga ni kweli amebadilisha mambo yake na unakuwa na hisia tu(huna uhakika) kwamba katika kuwekewa mambo yake sawa fulani ametolewa kafara kwa kuuwawa au kufanywa kichaa. Hapa unakuwa mlolongo wa hisia tu bila uthibitisho!Exactly japo hisia zinaweza kuwa sahihi au zisiwe sahihi
Kumbe hadi kuna wanawake wenye utajir wa namna hiiMimi namjua mmoja alikua rafiki wa mama yangu utajiri wake ni wa kutumia nyota za wafanyakazi wake
Ila ilipofika mwaka 2018 ikabidi amtoe mtoto wake na akafanya hivyo
Ashawahi kumshawishi mama yangu ajiunge huko mama akakimbia nduki na urafiki ukaisha.
Alikuja dar kama housegirl kutoka Upareni ila sasa hivi ni tajiri.
Kama uchawi ni siri watu baki tu wa mtaani huwa wanafahumu vipi kwamba fulani ametajirika kwa sababu ya uchawi?Uchawi , nguvu za giza, utajiri wa kafara upo!!!! Lakini uchawi wa aina yoyote ni Siri na gharama kuanzia pesa, muda,kujitoa na kila kosa utakalofanya Lina gharama zake..... Usijidanganye mchawi aje atoe Siri zake hapa au formular zake kwako wewe ambae ni key board fighter usiweza kumsaidia lolote na huna impact yoyote kwake....... Ukichagua kuamini uchawi upo amini na ukichagua kutokuamini amini hivyo pia.
AminaNdugu yangu haya mabo yapo omba Mungu akuhepushilie mbali unaweza kutolewa kafara wewe..
Ukifuatilia story za kila familia duniani unaweza kusema ni za kutatanisha sana ila kiwango cha utajiri na umaarufu ndio unazifanya familia nyingine kuongelewa zaidi kuliko familia nyingine.Kuna waziri mmoja wa afya familia yake ina story ya kutatanisha sana lako hata yule meneja wake diamond wa morogoro inasikitisha sana kuona utu umepotea.
Huyo mama ni tajiri kabla ya kugundua pesa zake ni za madawa nilienda kukaa likizo kwake.Kumbe hadi kuna wanawake wenye utajir wa namna hii
lAbda kwavile huku kwetu hakuna matajiri wanawakeWewe ulikuwa unafikiri unaoitwa utajiri wa kichawi ni kwa wanaume tu?
Hao wanasikia habari wasizokua na uhakika nazo na hawawezi kuzithibitisha Wala kukupa uhakika wa ushahidi wa tukio husika.Kama uchawi ni siri watu baki tu wa mtaani huwa wanafahumu vipi kwamba fulani ametajirika kwa sababu ya uchawi?