Top for B
JF-Expert Member
- Mar 4, 2023
- 803
- 2,796
Kwa nini watumie binadamu wasitumie wanyama na vitu kama hivyo?Labda ni kama chumvi, maji ya baraka, mafuta, rozari, tasbihi, pete n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini watumie binadamu wasitumie wanyama na vitu kama hivyo?Labda ni kama chumvi, maji ya baraka, mafuta, rozari, tasbihi, pete n.k
Unajua mambo haya yapo na uchawi upo nyie mnaokaza mafuvu siku yenu ikifika mtaamini tu.Ilibidi kufahamu kama kijana wake hakuwa na ugonjwa au tatizo lolote ambapo asingekuwa na muda mrefu wa kuishi na mganga akapitia humo, ilibidi kufahamu kama huyo kijana hakuja likizo au haketembelewa huko Canada halafu akapewa kitu kutoka kwa mganga ambacho kingeweza kuwa sumu, mambo yanaweza kuwa mengi.
Inaweza ikawa, ila yule tajiri anastaajabisha sanaLabda alikuwa anapendelea baiskeli ili afanye mazoezi au kuficha mambo yake kwa watoza ushuru wasimsonge songe au anabeba muzigo ya bangi n.k
Sioni uhusiano wa moja kwa moja wa huyo tajiri aliyeamua kutumia baiskeli na uchawi.
Inaweza ikawa si uzembe bali ni kutokujua viashiria vilivyobaki.Always kuna evidence huwa inaachwa, but people are too lazy to pay anttention to it
Wap nimekuambia nataka kushindana na wewe na ili nipate faida gani?Unataka Kushindana Wewe Hutaki Kupata Experience na Kujifunza.
Kwa kweli sifahamu. Ila kuna daraja lilikuwa korofi sana, kila wamarekani wakijenga, asubuhi wanakuta limebomoka.Kiungo kinakua kinasaidia nini pale kuhusiana na hiyo mizimu?
Na mbona wanasema ni vigumu tajiri kuona ufalme wa mbinguniUtajiri upo kwa Yesu Kristo pekee Mungu aliye ziumba mbingu na nchi. Ukitaka kuwa tajiri mwombe Yesu Kristo huku ukiendelea kufanya kazi. Hakika utakua tajiri.
Labda ndugu zake waliwahi kwenda naye machinjioni milio ya ng'ombe ikakaa zaidi kichwani kwake.
Sasa kama anafanya utakatishaji wa fedha za wakubwa kuna haja gani ya kujitesa kutumia baiskeli kupitisha magendo wakati ana mkono mrefu? Kwanini asitumie hiyo Hilux yake?Inawezekana anafanya kazi chafu pia kama za dawa za kulevya, utakatishaji fedha za wakubwa, magendo ya madini n.k Kwa nini ukimbilie moja kwa moja kuhisi ni ushirikina bila kufikiria haya mengine?
Mbona wengi wanamuomba na wanafanya kazi kwa bidii na uaminifu sana ila bado wanakufa wakiwa masikini??Utajiri upo kwa Yesu Kristo pekee Mungu aliye ziumba mbingu na nchi. Ukitaka kuwa tajiri mwombe Yesu Kristo huku ukiendelea kufanya kazi. Hakika utakua tajiri.
mambo ya Carbonaro effectView attachment 3177059
Haya tena kwa anayetaka kubadilisha karatasi kuwa ni pesa anione mimi kwa wakati wake ili nimpe ujanja wa kuweza kupata pesa.
Yeye labda kuendesha baiskeli sio shida kwake, ni kitu anachokipenda au anabana pesa ya mafuta au inamfanya aoenekane mtu wa kawaida wa watu na inamwezesha kupata dili fulani kirahisi kutoka watu wa kawaidaMtu mwenye mtaji na biashara hatua ya kufikia kununua hilux na kufanya mambo mengine makubwa anawezaje kusafirisha bidhaa hizo kwa baiskeli?
Mtu hutafuta pesa ili aondokane na shida za hapa na pale na afurahie maisha ya kuwa na pesa.
Sasa kama una pesa halafu bado wajitesa, nini maana ya kuwa na pesa.
🤣🤣🤣Ndio mpaka useme Upareni jamani.
Hayapo ila ni maigizo ya kuwapiga washamba na kutengeneza mazingira ya kuendelea kunufaika toka kwaoNdugu yangu haya mabo yapo omba Mungu akuhepushilie mbali unaweza kutolewa kafara wewe..
Walokole wanao muomba huyo Yesu kila kukicha mbona hawatajiriki?Utajiri upo kwa Yesu Kristo pekee Mungu aliye ziumba mbingu na nchi. Ukitaka kuwa tajiri mwombe Yesu Kristo huku ukiendelea kufanya kazi. Hakika utakua tajiri.
Ugonjwa unatengenezwa, iwe kifafa, presha kali, n.k; na vipimo vya mzungu vitasema marehemu alikuwa na ugonjwa fulani.Ilibidi kufahamu kama kijana wake hakuwa na ugonjwa au tatizo lolote ambapo asingekuwa na muda mrefu wa kuishi na mganga akapitia humo, ilibidi kufahamu kama huyo kijana hakuja likizo au haketembelewa huko Canada halafu akapewa kitu kutoka kwa mganga ambacho kingeweza kuwa sumu, mambo yanaweza kuwa mengi.
Watatajirika waendelee kusubiriWalokole wanao muomba huyo Yesu kila kukicha mbona hawatajiriki?
Ufalme wa mbinguni haupo.Na mbona wanasema ni vigumu tajiri kuona ufalme wa mbinguni