Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

Waafrica hawakutoka Mashariki ya kati, watu wa mashariki ya kati wametokea Africa.

Hata Wamisri wametoka huku kwetu kusini kwao.

Jaribu kumsoma Cheik Anta Diop, sio kila siku biblia tu.

Tatizo wabongo wengi wakisoma biblia basi ndio wanafikiri wamemaster historia.Ni wachache sana wanamfahamu cheick anta diop
 
Nipitie nini?

Fact gani nimezimis?

utazigundua utapopitia tena huo ushahidi unaoutaja katika post yako niliyo quote mwanzo kabisa. kama unao lakini
 
utazigundua utapopitia tena huo ushahidi unaoutaja katika post yako niliyo quote mwanzo kabisa. kama unao lakini

Hivi wewe unakijua unachokiandika au unakiogopa kwasababu hukijui?

Vitu niandike mimi halafu uniambie nivipitie? Kwa vipi?

Kama kuna mahali unapaona pana matatizo si useme ni sehemu fulani na sio kuzunguka zunguka bila sababu ya msingi?
 
Mkuu kumbe unaelewa good point.Wakoloni walituletea yesu mzungu.lakini ukienda Ethiopia utakuta Yesu wao mwafrika.

Sawa sawa, bwana awe nawe, kuanzia leo yesu mzungu hatumtaki watuletee yesu wetu mweusi,
 

Let the Bible speak!!!! Wacha biblia iseme. Usiongeze wala kupunguza. Wewe haya maneno umeyatoa wapi? Vipande vya aya uliyotolea maelezo hayafafanui ndani ya aya hizo. Ina maana umeyatoa mahala ambapo si ndani ya aya hizo. Nimefuatilia aya zote hizo (ingawa nazijua toka zamani) lakini hakuna mahala panaposema huo ufafanuzi. Labda ungetoa aya hizo kisha ukatupeleka kwenye maandiko ya mafundisho mengine yanayoeleza kama unavyotaka kutueleza.
Tofautisha biblia na historia inayofafanua maneno katika biblia. Wasomi tupo tunaona unavyotaka kudanganya.
 
kiranga nilikutegemea, karibu!!

but wapi nimesema waafrika tumetoka middle east?????

Ukishaongelea habari za mjukuu wa Noah, kwa authority ya bible, unaongelea Middle East, si Africa
 
We ishmaeli ni mtu wa dini gani sasa?
Shame on you!! Upo kama kinyonga tu
 
Safi sana. Wek ushahidi
UKRISTO SIO DINI

Ukristo ni ushirikina wa Paulo kwa sababu Yesu hakufundisha utatu.

Mafundisho Ya Yesu ni tofauti kabisa na ushirikina wa Paulo.
 
We ishmaeli ni mtu wa dini gani sasa?
Shame on you!! Upo kama kinyonga tu

Yuko katika ile kundi ya kusema "Mungu amejigeuza binadamu". Astaghfiruallah!

Huyu M-Paulo anafanya ibada za kichawi, kula mwili wa bwana na kunya damu ya bwana ili ushirikina uonekane ni jambo jema. Ibada gani, jamani hii ibada ya kula mwili? Ukiwaambia acheni mambo ya kichawi, wanakuja juu.
 
For about 400 yrs, blacks esp. Africans are still being mindf**ked by foreign religion. Once a slave always a slave. Ur so busy tryin to fit in that book. It's not ur manuscript, in that book u don't matter all.in that book ur just a loser who told to must offer a second chick slap. We need to get back our own black original religion that we had before these two limbs walking pigs came to this continent.
 
We ishmaeli ni mtu wa dini gani sasa?
Shame on you!! Upo kama kinyonga tu
Si nimesha sema Ukristo sio Dini.

Tatizo la wengi wenu mmekaririshwa mavitu tokea mzaliwe sasa mnalazimisha mambo.

Mimi nafuata Yesu Mungu ambaye hakuleta Dini hapa duniani. In fact, all of the Bible prophets did not bring any religion on earth.

CHRISTIANS ARE CHRIST FOLLOWERS.
 
Muhammadan, it is sad to know that, your deity is weak and barren. Do you know why Allah has no child? Because Allah is barren despite been married to Allat.

Msiba huu
 
Kitu ni ushirikina wa Paulo tu?

According to Muhammad's own definition of witchcraft, Muhammad was himself guilty of practicing that demonic art. Muhammad defines witchcraft as follows:

Qur'an 113.003 "From the mischievous evil of Darkness as it becomes intensely dark, and from the mischief of those who practice the evil of malignant witchcraft and blowing on knots, and from the mischievous evil of the envier when he covets."

And the Hadith records that Muhammad did these very things:

Bukhari:V7B71N643 "I heard the Prophet saying, ‘If anyone sees something he
dislikes, he should blow three times on his left side and its evil will not harm him.'"
Bukhari:V6B61N535"Whenever the Prophet became ill he used to blow his breath over his body hoping for its blessing." Bukhari:V6B61N536"When the Prophet went to bed he would cup his hands together and blow over them reciting surahs. He would then rub his hands over whatever parts of his body he could reach, starting with his head, face and frontal areas."

Exactly why Muhammad thinks he will be able to beat evil with what he called evil is beyond me. But I would not deny that Muhammad here confesses that he practices witchcraft since the implicit confession is obvious to all without an obvious bias.
 
You are dumb and mindless.
 
Ukishaongelea habari za mjukuu wa Noah, kwa authority ya bible, unaongelea Middle East, si Africa

kiranga, kabla ya noah pia kulikuwa na waafrica, possibly mke wa noah alikuwa mwafrica
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…