Tembomtata
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 266
- 426
Tobby na Steve walikuwa wanajua sana........Kulikuwa na top 9 at 9 ilikuwa kaliiiiiiOnly steve kabuye for me, jamaa alikua anatema kimombo mpk raha,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tobby na Steve walikuwa wanajua sana........Kulikuwa na top 9 at 9 ilikuwa kaliiiiiiOnly steve kabuye for me, jamaa alikua anatema kimombo mpk raha,
Hilo jina la mwisho hilooooSteve Kabuye (Steve Kafire)
Alifariki akiwa Radio MAGAMBA (Uhuru)Deo kiduduye
Namkumbuka sana jamaa hasa sauti yake. Kipindi Eminem ametoa wimbo wa 'cleaning out my closet' jamaa alikuwa anaupenda sana kuucheza.Lazaro Matarange
rekodi zako ziko sawa kabisa mkuu, tisha sanaAlifariki akiwa Radio MAGAMBA (Uhuru)
Mkamiti, alikuwa mke wa Peter Omari. Huyo Peter alipata dili USA, akaenda naye. Kufika huko, jamaa akageukwa, shughuri iliyompeleka ilipokwisha, ikabidi arudi peke yake na kuja kuoa mke mwingine. Naye akaolewa huko, kwa sasa ni mtangazaji wa VOA.
Mtangazaji mwingine ni-
JOAN ITANISA
PAUL JAMES SWEA
ISSACK GAMBA
Jamaa alikuwa anapindi flani hivi star TV linaitwa SUPERTRAXX kwa nyuma alikuwa anapiga background music wa hili pini,halafu alikuwa anakong'ota hiphop zenyewe yaani za ukweli,jamaa alikuwa noma sana STIVIE KABUYE na Ngeli yake si mchezo.jamaa alikuwa ni mkali sana, na ninaweza nikasema mpaka leo kwa Tanzania hakuna mtangazaji anaefikia level za Steve Kabuye (Steve kafire)
Akazama nalo kwa Shangingi la taarabu DIDA.hahahah Ezden ni kizazi cha mwisho kilichojitahidi kuokoa Jahazi lakini akaona bora aliache lizame tu hakuna namna
Prince Baina Kamukulu.Yule wa movie za kihindi