Unawakumbuka watangazaji gani enzi hizo pale RFA na KISS FM?

Unawakumbuka watangazaji gani enzi hizo pale RFA na KISS FM?

Dah RFA miaka ya mwisho ya 90 naisikia kwa upande wa Dar nazikumbuka sauti za Double G, Isaack Gamba, Nkamiti Juma, Rahabu Fungo, Deo Kiduduye (R.I.P), Zubeir Msabaha (R.I.P, Rebeca Mulesi na Kid Bway
 
Stella situmbi
Roy maganga
Japo hukumuweka kwa list yako lakini Samadu Hasani (Marehemu) alikuwa bora kabisa wa usimulizi wa habari..
1. Fredwaa
2. Ahmed Juma Baragaza
2. Wambura Mtani
 
2000-2007
Fred wa,Rahabu fred,Kid bwoy,Glory Robinson,Doekaji Makomba,Juma Ahmed Baragaza,Zuberi Msabaha,Prince Kamukulu,Anko Sam,Beatrice Rabat,Stella Situmbi,Dj John, Baruan Abdallah Muhuza, nk

Sidhani kama itatokea tena ktk tasnia ya habari kuwa na muunganiko wa vipaji kama hivi, walikuwa na maadili, hii ndo ilikuwa RFA.

Vpindi vikali kama Vodacom burudani zaidi,RFA Bonanza,Show time,Mambo mambo,Je huu ni uungwana?,Duniani wiki hii,Weekend Fever,Bolingo time,Uliza ujibiwe,SITASAHAU,Reggae,watoto,
Tunamiss sana tukiokuwa wadau wa RFA.
 
Naweza nikasema orodha ya watangazaji wa redio hizi ambazo ziko jiji la Mwanza walinikosha hadi kutamani kusomea uandishi wa habari, enzi hizo kulikuwa hakuna mitandao nilitamani sana kuwafahamu hata kwa sura watangazaji hao, maana vipindi vilikuwa vimesheheni watu walikuwa na vipaji vya kuogopwa.

ikikuwa ukiwasha redio asubuhi huzimi mpaka kesho ikizima ujue umeme umekatika, KISS FM nilianza kuisikiliza muda kidogo kupitia dishi la televisioni upande wa redio sababu sehemu niliyokuwepo masafa yake yalikuwa hayafiki,

hebu shusha orodha ya watangazaji waliokuwa wanashusha mabalaa kipindi hiko, kwa sasa naona kama hazifanyi poa

RFA
Baruan Muhuza
Gabriel Zacharia
Maregesi Gilsian
Rahabu Fredy
Sandu G (Kid bwoy)
Sam David Kiama (Uncle Sam)
Fredrick Bundala (sky walker)
Fredy fidelis (fredwaa)
Juma Ahmed Baragaza
Glory Robinson
Godwin Gondwe (double G)
Tryphone Anselm (Soggy Dogg)
DJ John
Prince Baina Kamukulu RIP
Zuberi Msabaha RIP
Godfrey Kusolwa (Godman)
Deborah Mpangama
Beatrice Rabachi
ONGEZA LIST.....

KISS FM

Irene Tillya
Yunus Karsan
John Karan
Steve Kabuye (Steve Kafire)
Claudia Mayanka
Tobby Chewe
Chris Mark
Dj Jeff Jerry
Dj Aleco
Dee seven
Ezden Jumanne
JML
ONGEZA LIST......

Bolly b the pilot,sherrybano abubakar aka sherry,d7,dh malliz
 
2000-2007
Fred wa,Rahabu fred,Kid bwoy,Glory Robinson,Doekaji Makomba,Juma Ahmed Baragaza,Zuberi Msabaha,Prince Kamukulu,Anko Sam,Beatrice Rabat,Stella Situmbi,Dj John, Baruan Abdallah Muhuza, nk

Sidhani kama itatokea tena ktk tasnia ya habari kuwa na muunganiko wa vipaji kama hivi, walikuwa na maadili, hii ndo ilikuwa RFA.

Vpindi vikali kama Vodacom burudani zaidi,RFA Bonanza,Show time,Mambo mambo,Je huu ni uungwana?,Duniani wiki hii,Weekend Fever,Bolingo time,Uliza ujibiwe,SITASAHAU,Reggae,watoto,
Tunamiss sana tukiokuwa wadau wa RFA.
Retrace NYERERE yuko wp mkuui?
 
Kumbe Irene Tylla alianzia Kiss FM? Mwaka gani alianza na kuacha na kwenda EA Radio?

Tobby Ze Splash na Stivie Kabuye ni Shida.

Baragaza/wambura mtani ni shidaaa Je huu ni ungwana /Sitasahau Jumanne Magasha
Tobby The Splash jamaa alikua na English tamu sana sijawahi ona aiseeeee
 
RFA na KISS FM walitangulia baada ya Redio one. Tatizo hawakuwa na Activity za kuengage society na maTamasha.
Kama Fiesta na Wasafi festival.
Kumbuka Redio inawakilisha sense Moja tu Kusikia.
Unapoongeza na Visual na Physical inakua business balaa
 
Back
Top Bottom