Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee lawena nsonda wa makongolosi chunya.Huku wakiwepo wapiga simu maarufu ni Elias Sultan Nzoa kutoka Mloo Mboz Mbeya.
Huyu mwamba alikuwa Kiss Fm,kipindi hiko ikifika saa 8 mchana mtu huchezi mbali na radio.nimesikitika hapo juu nimesoma kuna mdau anasema Joakim A.K.A Bad News ametangulia mbele ya haki.DJ Jeff jerry watu wa hip hop hatuwezi kumsahau
Mimi siku za Jumapili ile kuanzia saa nane mpaka saa 11 jioni wanapiga Ngoma za Billboard halafu usiombe uwe umeshatoka church huku unasubiria promise huku geto linanukia UDI KWENDA MBELE HATAAAARI FIRE KABISAKusema ukweli KISS FM ilikua ndio redio yangu ya kusikiliza maana ilikua inanikuna hasa,siku wakipiga old school zinapigwa haswa haswa...
Nai miss sana kiss fm ya kipindi kile!
Vijana wa Jiji wameshafunika siku hizi yupo hoi, nafikiri majembe yote yashakimbia kutafuta 'pastures city center'Siku hizi huu mradi wa Diallo upo hoi bin taaban
Dada alikuwa anaongea kama cherahaniGLORY ROBINSON "Mtoto wa Mama SOAP" ile sauti wazee Wazungu wanakuja kabisa,yupo wapi nowday.
Yah Mtoto wa marimbe mnangani Jilani kabisa na hostel za MashaAgrepina Cosmas
Lazaro Matarange
Hivi Tone Radio ilikwenda wapiIrene Tillya alianzia Kiss fm kipindi cha asubuh baadae 2013 akaenda Tone radio ambayo ilikuwa based Online kisha akaja EA Radio
We jamaa umenifanya nitabasamu the way ulivyojibu hapo. Naona the way ulivyopiga vidole wakati unasema hiyo there you areThere you are. Safi kabisa