DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Denis SSebo ameanzia Kiss fm kumbe?John karan aka jk, na yule mganda sasahv ni meneja e fm
Aliitwa Rahab FungoRahabu Fredy alijiita hivyo nafikiri.baada ya kuolewa na Fredwaa.
Alikuwa Rehabu someboy
Na kuna
Mkamiti juma
Ostaadhi Peter omary
Sjui hata picha yake yukoje,alikuwa anajua kinomaaGlory robnson aka mtoto wa mama sabuni
R.I.P D 7Pale Kiss fm alikuwepo mdada flani hivi aliitwa Natasha Ally, alikuwa mzungu. Aseee alikuwa balaa, ndo baadae akaingia D7.
Kazuri kinomaSjui hata picha yake yukoje,alikuwa anajua kinomaa
Nimeona post mahali mwamba kaaga dunia aisee.R.I.P D 7
Yes nimesikia asubuhi Kiss FM wamethibitisha piaNimeona post mahali mwamba kaaga dunia aisee.
Umenishtua sana mkuu. D7 alishafariki?R.I.P D 7