Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha?
Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?
Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Waje the right people at the right time !Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?
Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Umeandika 🚮🚮 na ujinga.Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
There you are, the next round ya kuleta mtu ni 2025, sasa kati ya hawa waliopo sasa, nani ameonyesha uwezo in terms of maturity, ability, Capacity and capability kuipumzisha CCM tumpe?.Waje the right people at the right time !
Majaliwa na Kinana hawajui hata bei ya sukari wala petrol wao hizo zipo tu muda wote, kwanini wasitamani maza aendelee ili waendelee kupiga pesa?Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Huyu mama anajua bei ya sukari sahivi?
Kwahiyo kwa kukosekana wa kuja ndio ccm izidi kubakishwa na kuzidi kutesa raia?Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?
Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Huyu mjambiani ni mpumbavu haswa ...anadhani watanganyika tuko tayari kuongozwa na mpumbavu kwa miaka mitano tena...kitu pekee anachotegemea huyu mpuuzi ni kuiba kura na kuanithi upinzani .... kwenye ili la kuanithi upinzani kafanikiwa kwa asilimia 100 maana anatumia pesa za umma kuwaonga wakina mbowe na wengine ....kwahiyo anacho kifanya ni kututia pin [emoji419] watanzania tukose cha kuchagua mbadala hata kama yeye hatumpendi ...Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Kama hakuna any credible replacement, utaendelea kutumia kilichopo mpaka utakapo pata kingine!.Kwahiyo kwa kukosekana wa kuja ndio ccm izidi kubakishwa na kuzidi kutesa raia?
Hiyo ccm ilivyochaguliwa mara ya kwanza ilikuwa complete kabisa?
Hata kama nayo sio credible?Kama hakuna any credible replacement, utaendelea kutumia kilichopo mpaka utakapo pata kingine!.
P
Heshima kitu cha bure!, You don't have to do this!, mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni!. Heshima kitu cha bure! Kwanini Rais Samia, japo sio lazima apendwe na wote lakini ni lazima aheshimiwe na wote? Akosolewe kwa staha na asitukanwe!Huyu mjambiani ni mpumbavu haswa
watanzanyika tuko tayari kuongozwa na mpumbavu
huyu mpuuzi
na kuanithi upinzani ....