econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Umeandika 🚮🚮 na ujinga.
Nakuuliza kitu Kimoja ,leta ushahidi wa Rushwa kukithiri kwanza Ili tuone kwamba sio chuki binafsi.
Mwisho fomu ya Urais itakuwa Moja
Fuatilia ripoti ya CAG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika 🚮🚮 na ujinga.
Nakuuliza kitu Kimoja ,leta ushahidi wa Rushwa kukithiri kwanza Ili tuone kwamba sio chuki binafsi.
Mwisho fomu ya Urais itakuwa Moja
Waje the right people at the right time !
There you are, the next round ya kuleta mtu ni 2025, sasa kati ya hawa waliopo sasa, nani ameonyesha uwezo in terms of maturity, ability, Capacity and capability kuipumzisha CCM tumpe?.
P
Nitajie mwaka ambao ripoti ya CAG Imewahi kuwa nzuri?Fuatilia ripoti ya CAG
Kama hakuna any credible replacement, utaendelea kutumia kilichopo mpaka utakapo pata kingine!.
P
Nitajie mwaka ambao ripoti ya CAG Imewahi kuwa nzuri?
Amerith cheo kikubwa kuliko vyote dunian ulitegemea aseme siweziii hata kama hawezi[emoji16]Samia anapaswa kubadilika kwa faida yake na ya Taifa pia.
Hii hali ya kuwa mpenzi mtazamaji haina afya kwa Taifa.
Hata Kama hapendi au hawezi Magufuli style ya kudeal na public issues.
Basi aje na approach yake mwenyewe lakini ikiwa na lengo la kuhakikisha mambo muhimu ya kitaifa yanafanyika kwa manufaa ya wengi na sio wachache fulani tu.
Jikite kwenye hoja ya mtoa mada anajaribu kielezea kwamba Samia ndio amesababishaHuwezi PATA Ripoti nzuri ya CAG Chini ya chama Cha mafisadi CCM , kila mwaka ni wizi tu.
Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Hashim Rungwe....nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Sisiem inatumiwa na vyombo vya dola kutafuna nchiKukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Jikite kwenye hoja ya mtoa mada anajaribu kielezea kwamba Samia ndio amesababisha
Siyo CCM ndiyo hutumia vyombo vya dola kuitafuna nchi!!??Sisiem inatumiwa na vyombo vya dola kutafuna nchi
Hili swali la nani aje, unapenda sana kuliuliza. Unawaaona WaTanzania mafala au!? Iwe ChaDeMa, ACT wote Hawa wanaweza kukabidhiwa nchi na mambo yakasonga.Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?
Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Wewe nani uzuie Samia asichaguliwe tena 2025? Acha kupoteza muda katafute helaKukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Swali sio Watanzania tuko wangapi, swali ni kama sio CCM ni nani?.Pascal wacha kujitoa ufahamu brother.
Unauliza ikitoka ccm nani tena atatawala?
Watanzania wapo 60million +.
Upuuzi TU uliondika hapa. Ajuza anatafuta huruma apitishwe bila mchakato wakati MaRais wote waliopita walipitia michakato rasmi ya chama. Huo alionao ni wa kuokota.Umeandika 🚮🚮 na ujinga.
Nakuuliza kitu Kimoja ,leta ushahidi wa Rushwa kukithiri kwanza Ili tuone kwamba sio chuki binafsi.
Mwisho fomu ya Urais itakuwa Moja
Ni kama anataka kuoenesha kwamba CCM ina ubora wa hali ya Juu sana.Hili swali la nani aje, unapenda sana kuliuliza. Unawaaona WaTanzania mafala au!? Iwe ChaDeMa, ACT wote Hawa wanaweza kukabidhiwa nchi na mambo yakasonga.
Wengi tulidhani hivyo lakini tumegundua mrubdikano wa maafisa wa taasisi za usalama ndabi ya madaraka hususan teuzi za CCM ndani ya serikali ni jibu tosha kuwa vyombo vya dola vimefanikiwa kututawala kijeshi kwa mbinu hii.Siyo CCM ndiyo hutumia vyombo vya dola kuitafuna nchi!!??