Pre GE2025 Unawaongezea wananchi gharama za maisha halafu useme wakuchague ukaumize tena, CCM mmekuwaje?

Pre GE2025 Unawaongezea wananchi gharama za maisha halafu useme wakuchague ukaumize tena, CCM mmekuwaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata kama nayo sio credible?

Ni utemi tu mnafanya kaka.

Watu wanajua wamechoka vipi, nyie mmeshapata nafasi to prove yourselves for 60 years, kama hamjaweza ni hamuwezi tu, acheni utemi. Wekeni mazingira huru ya uchaguzi muache watu wachague wanachotaka.

Hii ya kusema kama hakuna credible replacement iendelee ccm nyinyi ndio mnasema.
Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine cha kukisogeza, na kama kinatembea kitaendelea kutembea mpaka kitokee kingine cha kukisimamisha!.

Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
 
Kukatika katika hovyo kwa umeme

fukuza fukuza ya machinga

kuongeza nauli hovyo hovyo

ubovu wa miundombinu ya barabara

kukwama kwa miradi mbalimbali

mfumko wa kutisha wa bei

Rushwa iliyokithiri

mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Mungu utunusuru
 
Kukatika katika hovyo kwa umeme

fukuza fukuza ya machinga

kuongeza nauli hovyo hovyo

ubovu wa miundombinu ya barabara

kukwama kwa miradi mbalimbali

mfumko wa kutisha wa bei

Rushwa iliyokithiri

mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Mungu utunusuru
 
Unamuheshimuje mtu asiye waheshimu watanganyika ...tumia akili heshima pia ina haki yake siyo kila mtu anastahili kuheshimiwa ...kasome hata hiyo biblia yenu inasemaje ....mungu ana sema anawasheshimu wanao muheshimu na kuwaona kama mavi wanao mdharau na kuwa hesabu kuwa si kitu ....hivyo tunaona swala la heshima siyo la mkubwa kuheshimiwa na mdogo bali mkubwa na mdogo kuheshimiana .....tatizo la wakristo akili zenu ni mbovu hadi biblia mmeshindwa kuielewa ndiyo maana hata amri kumi za mungu mmeshindwa kuzielewa ....unakuta mkristo kashupaza shingo na matsko anasema [emoji117] (imeandikwa watoto wawa heshimu wazazi wao) ...ni kweli imeandikwa hivyo je wapi imeandikwa wazazi wasiwaheshimu watoto wao ? ....pia unamkuta mkristo mpumbavu kashupaza shingo na matako anasema imeandikwa [emoji117] usiue ....kweli imeandikwa usiue tena hiyo amri ilikuja kwa mkono wa musa sasa mbona musa baada ya hiyo amri aliendelea kuua hadi watoto wachanga na watakatifu wote walio mfuatia waliua ....HAPO NDIYO UTAJUA KUWA WATU WANATUMIA MANENO MEMA KIPUMBAVU MAANA WANASHINDWA KUTAMBUA MAANA YAKE ...SO KUNITAKA MIMI NIMUHESHIMU MTU ASIYE HESHIMU ....HAKI ...ANAYE WAHESHIMU WAFISADI NA KUWADHARAU WASIO MAFISADI ...ANAYE WAHESHIMU MACHAWA NA KUWADHARAU WASIO MACHAWA ...ANAYE WAZARAU WAZALENDO NA KUWAHESHIMU WASIO WAZALENDO ...ANAYE WAZARAU WAAFRICA NA KUWAHESHIMU WAARABU NA WAZUNGU NK SIWEZI KUMWESHIMU MPUMBAVU WA HIVYO HATA SIKU MOJA ....


KUMUHESHIMU MTU KINYUME NA HAKI NI DHAMBI NA KUMDHARAU MTU KINYUME NA HAKI NI DHAMBI PIA HIVYO IKIWA TUNA HESHIMU BASI IWE NI KWA HAKI NA TUKIDHARAU IWE NI DHARAU YA HAKI PIA.
 
Kukatika katika hovyo kwa umeme

fukuza fukuza ya machinga

kuongeza nauli hovyo hovyo

ubovu wa miundombinu ya barabara

kukwama kwa miradi mbalimbali

mfumko wa kutisha wa bei

Rushwa iliyokithiri

mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Umesahau
1.Kuteka teka watu hovyo.
2.Kubaka demokrasia
3.Kuteua watu wa jamii yako tu
4.Kuvunja mikataba hovyo hovyo
5.Kuwa na vijana wa hovyo hovyo wanao tukana viongozi wastaafu
 
Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?

Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Pascal wacha kujitoa ufahamu brother.

Unauliza ikitoka ccm nani tena atatawala?
Watanzania wapo 60million +.
 
Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Anaeweza ni yule anaeshindaga nadhulumiwa
 
Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Tuanze na Free and Fair elections kwa dhati kabisa bila mizengwe mizengwe ya aina yeyote ile tuone nini kitatokea !!
 
Back
Top Bottom