ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kama yupo nitajie,uliwahi ona Mwendazake ameweka pesa kwenye maji? Samia amemwaga pesa kuanzia Kidunda Dam Hadi Runagwa huko.u
una matatizo ya akili weww
Sasa atajulia wapi bila kuambiwa, haendagi hata dukani kwa Mangi.Huyu mama anajua bei ya sukari sahivi?
Wapi nimesema kwamba Samia atamaliza kila kitu ndani ya miaka 3??Hivi wewe unategemea Kila kitu atamaliza Samia Kwa miaka 3?
Kwaiyo wewe Bwana Pascal na usomi wako unaamini hatuwezi kuendesha hii nchi bila CCM?Kama hakuna any credible replacement, utaendelea kutumia kilichopo mpaka utakapo pata kingine!.
P
Tunataka kiongozi anazijua shida za wananchi na siyo anayezisikiaSasa atajulia wapi bila kuambiwa, haendagi hata dukani kwa Mangi.
hatuna Rais anayeitwa Samia tuna Makamu wa Rais Samia na RAIS bado ni Magufuli kwani Samia aliomba kura wapi aliandika ilani gani mwenyewe wakati anayetekeleza ilani ni Rais Magufuli ni ilani ya 2020/2025Kama yupo nitajie,uliwahi ona Mwendazake ameweka pesa kwenye maji? Samia amemwaga pesa kuanzia Kidunda Dam Hadi Runagwa huko.
Iko hivyo sekta zote ikiwemo miradi ya Mwendazake aliyoshindwa kuikamiliaha.
Inawezekana una ufahamu mdogo sana wa Jiografia ya Tanzania na ukubwa wake. Hiyo miradi unayoitaja ni sawa na tone la sukari kwenye bahari ya chumvi.Kama yupo nitajie,uliwahi ona Mwendazake ameweka pesa kwenye maji? Samia amemwaga pesa kuanzia Kidunda Dam Hadi Runagwa huko.
Inahuzunisha, lakini ndo ukweli ulivyo.Kama hakuna any credible replacement, utaendelea kutumia kilichopo mpaka utakapo pata kingine!.
P
Tunahitaji Tume huru ya Uchaguzi ili tumpate tunaemhitaji.Tunataka kiongozi anazijua shida za wananchi na siyo anayezisikia
Mimi naamini CHADEMA au ACT-Wazalendo wanaweza kuongoza nchi na kama hawawezi ni bora Jeshi lichukue nchi na kuunda serikali ya mseto.Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine cha kukisogeza, na kama kinatembea kitaendelea kutembea mpaka kitokee kingine cha kukisimamisha!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Bila maandamano huwezi ipata maisha yako yoteTunahitaji Tume huru ya Uchaguzi ili tumpate tunaemhitaji.
Paschal msamehe bure, ukijua maana ya Mayala mengine unapotezeaMimi naamini CHADEMA au ACT-Wazalendo wanaweza kuongoza nchi na kama hawawezi ni bora Jeshi lichukue nchi na kuunda serikali ya mseto.
Hiyo Dunia unayoisema wewe ni ipi,ambapo chama tawala kimeshidwa kuongoza nchi alafu kinaachwa kwa kisingizio kuwa hakuna replacement!
Hii nchi unataka kutuambia kuwa sisi wote hatuna akili ila ndani ya CCM ndiyo Kuna watu wana akili ingawa hawana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
.Kabla ya Tanu/ccm kuongoza nchi baada ya uhuru hawakuonekana popote duniani kua wanaweza kuongoza,je mkoloni naye angekua na akili hizi zako ingekuaje?.Ccm imeshapata nafasi ya kuongoza miaka nusu karne inatosha kabisa kujua hawa wanaweza au uwezo wao hapo ulipo ndipo ulipoishia.Haiitajiki phd kulijua hilo.sasa tusihukumu ambao hawajapata nafasi zakuongoza kwasababu ata ccm haikuhukumiwa mwanzo.Ccm haiwezi tena kua na maajabu yoyote ndo maana porojo ni nyingi kuliko uhalisia.Hili kulikomboa hili taifa lazima ccm ife ili nchi isimike msingi na mifumo mingine yakuipeleka nchi mbele zaidi ya hapa.Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine cha kukisogeza, na kama kinatembea kitaendelea kutembea mpaka kitokee kingine cha kukisimamisha!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Huna akili dadaHuyu mjambiani ni mpumbavu haswa ...anadhani watanganyika tuko tayari kuongozwa na mpumbavu kwa miaka mitano tena...kitu pekee anachotegemea huyu mpuuzi ni kuiba kura na kuanithi upinzani .... kwenye ili la kuanithi upinzani kafanikiwa kwa asilimia 100 maana anatumia pesa za umma kuwaonga wakina mbowe na wengine ....kwahiyo anacho kifanya ni kututia pin [emoji419] watanzania tukose cha kuchagua mbadala hata kama yeye hatumpendi ...
Sio kuwa hatuwezi kuendesha nchi bila CCM, bali kabla Watanzania hawajaipumzisha CCM, tufanye kwanza maandalizi ya nani wa kui replaces CCM, ndipo tuipumzishe CCM, lazima tukubali au tukatae, vyama vilivyopo, bado havina uwezo in terms of maturity, ability, capacity and capability to replace CCM.Kwaiyo wewe Bwana Pascal na usomi wako unaamini hatuwezi kuendesha hii nchi bila CCM?
Tatizo la nchi wasomi wengi ni wanataaluma ila siyo waelewa!!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ukiona upinzani hoja zake ni matusi,kejeli na kukosoa bila kushauri kwa maslahi ya Taifa basi kuwa makini sana katika maamuzi.Sio kuwa hatuwezi kuendesha nchi bila CCM, bali kabla Watanzania hawajaipumzisha CCM, tufanye kwanza maandalizi ya nani wa kui replaces CCM, ndipo tuipumzishe CCM, lazima tukubali au tukatae, vyama vilivyopo, bado havina uwezo in terms of maturity, ability, capacity and capability to replace CCM.
P
Maandamano Tanzania??!!!Bila maandamano huwezi ipata maisha yako yote
Tutafika tu hukoMaandamano Tanzania??!!!
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo[emoji419][emoji375]Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo