Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Unauliza au unapigia jibu mstari?Naomba kuheshimu mawazo yako, hivyo hiyo 2025 Watanzania wampe yeyote tuu alimradi sio CCM?.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Naomba kuheshimu mawazo yako, hivyo hiyo 2025 Watanzania wampe yeyote tuu alimradi sio CCM?.
P
Ina maana Mbowe hatuwezi kumpa ikulu yetu? Humuamini?Sio sisi, ndio kanuni ya dunia nzima, inatumia kanuni za Newton kilichopo kitaendelea kuwepo mpaka kitokee kingine cha kukisogeza, na kama kinatembea kitaendelea kutembea mpaka kitokee kingine cha kukisimamisha!.
Hata tukifanya uchaguzi huru kabisa na wa haki kabisa, katika hawa waliopo, nani anaweza kui replace CCM, tukaipa Ikulu yetu?.
P
Ukimbiwa kuwa wewe ni MARIOOOO utakataa?Nataka jibu,weka hapa ushahidi wa Rushwa kuongezeka vinginevyo unasapoti takataka kisa chuki binafsi Kwa sa [emoji817]
Kwa Tanzania hii ya ccm sahau kitu kama hichoTuanze na Free and Fair Election ya kikweli kweli kabisa ndio tutapata jibu sahihi nani anaweza !!
Wewe ndio Marioo?Ukimbiwa kuwa wewe ni MARIOOOO utakataa?
ThubutuPunguza maswali yasiyo na mantiki. Wekeni fair ground mjue anakuja nani.
Huyo ni kipofu tu na anaonekana ni Kati ya vijana wanao kula na kulala kwa baba zao hayajuu maishaFuatilia ripoti ya CAG
Swali zuri sanaOngea Kama great wewe chawa mkuu. Wakati ccm kipindi hicho TANU wanapewa madaraka walikuwa na maturity gani kwenye uongozi?
Huna akili hata kisodaNitajie mwaka ambao ripoti ya CAG Imewahi kuwa nzuri?
Mjane wa Marehemu.Kukatika katika hovyo kwa umeme
fukuza fukuza ya machinga
kuongeza nauli hovyo hovyo
ubovu wa miundombinu ya barabara
kukwama kwa miradi mbalimbali
mfumko wa kutisha wa bei
Rushwa iliyokithiri
mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Muulize mzee wetu yuko wapi sasa ( prof Asad)Huwezi PATA Ripoti nzuri ya CAG Chini ya chama Cha mafisadi CCM , kila mwaka ni wizi tu.
Sio Mbowe tuu, hata Lissu anaweza, hata wewe unaweza, hata mimi ninaweza, swali ni kupitia chama gani?, Mbowe anaweza kabisa kuwa rais wa JMT, lakini Chadema kinaweza?.Ina maana Mbowe hatuwezi kumpa ikulu yetu? Humuamini?
Bila kugombea hawezi kuchaguliwa.Wewe nani uzuie Samia asichaguliwe tena 2025? Acha kupoteza katafute hela
Mambo ya ukristo yameingiaje hapo.stress zako za maisha usizipeleke kusikostahili.toa upumbavu wako hadharani.Unamuheshimuje mtu asiye waheshimu watanganyika ...tumia akili heshima pia ina haki yake siyo kila mtu anastahili kueshimiwa ...kasome hata hiyo biblia yenu inasemaje ....mungu ana sema anawasheshimu wanao muheshimu na kuwaona kama mavi wanao mdharau na kuwa hesabu kuwa si kitu ....hivyo tunaona swala la heshima siyo la mkubwa kuheshimiwa na mdogo bali mkubwa na mdogo kuheshimiana .....tatizo la wakristo akili zenu ni mbovu hadi biblia mmeshindwa kuielewa ndiyo maana hata amri kumi za mungu mmeshindwa kuzielewa ....unakuta mkristo kashupaza shingo na matsko anasema [emoji117] (imeandikwa watoto wawa heshimu wazazi wao) ...ni kweli imeandikwa hivyo je wapi imeandikwa wazazi wasiwaheshimu watoto wao ? ....pia unamkuta mkristo mpumbavu kashupaza shingo na matako anasema imeandikwa [emoji117] usiue ....kweli imeandikwa usiue tena hiyo amri ilikuja kwa mkono wa musa sasa mbona musa baada ya hiyo amri aliendelea kuua hadi watoto wachanga na watakatifu wote walio mfuatia waliua ....HAPO NDIYO UTAJUA KUWA WATU WANATUMIA MANENO MEMA KIPUMBAVU MAANA WANASHINDWA KUTAMBUA MAANA YAKE ...SO KUNITAKA MIMI NIMUHESHIMU MTU ASIYE HESHIMU ....HAKI ...ANAYE WAHESHIMU WAFISADI NA KUWADHARAU WASIO MAFISADI ...ANAYE WAHESHIMU MACHAWA NA KUWADHARAU WASIO MACHAWA ...ANAYE WAZARAU WAZALENDO NA KUWAHESHIMU WASIO WAZALENDO ...ANAYE WAZARAU WAAFRICA NA KUWAHESHIMU WAARABU NA WAZUNGU NK SIWEZI KUMWESHIMU MPUMBAVU WA HIVYO HATA SIKU MOJA ....
KUMUHESHIMU MTU KINYUME NA HAKI NI DHAMBI NA KUMDHARAU MTU KINYUME NA HAKI NI DHAMBI PIA HIVYO IKIWA TUNA HESHIMU BASI IWE NI KWA HAKI NA TUKIDHARAU IWE NI DHARAU YA HAKI PIA.
Huyo kazoea kuishi kwa kujipendekeza kwa viongozi wa sasa ndo maana anaona ni wao tu ndio wanaoweza.afikirii ata kua kuna siku hatakuwepo duniani na atakiacha kizazi chake kwenye mateso makubwa ya ujinga.Hili swali la nani aje, unapenda sana kuliuliza. Unawaaona WaTanzania mafala au!? Iwe ChaDeMa, ACT wote Hawa wanaweza kukabidhiwa nchi na mambo yakasonga.
NitajieHuna akili hata kisoda
Nilijua tu wewe ni mmoja wapo wa wale waliobananishwa na Magufuli. Ona eti sahivi umehamia CCM!Wewe nani uzuie Samia asichaguliwe tena 2025? Acha kupoteza katafute hela
Huyu jamaa yupo neutral nusu mnafki(mpuuzi) nusu mkweli(anajielewa?)Wewe una matatizo. Wakati CCM wanafuta matokeo Zanzibar na JWTZ kumwagwa zanzibar, ilikuwa kanuni ya Newton au ujinga wa CCM . Tofautisha ujinga wa CCM na kanuni ya Newton. Yani Mkurugenzi kufunga ofisi ili mpinzani asichukue fomu au kuzima internet siku ya kupiga kura nako ni kanuni ya Newton. Punguza propaganda.