Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Nimeshangaa sana...
Na bado nashangaa sana[emoji2]
Wakubwa kuna namna tunaulizana bhana..
Kwani we vipii?!Endelea kuwa na unrealistic expectations, ukitafuta a tall, rich dark & handsome man Abigail Nabal
KabisaKila kitu kinawezekana.ukiamua
[emoji38][emoji38][emoji38]Halafu wewe [emoji23]
Mpenzi sabuni..Sisi wa Nyeto tukaa miaka hadi 2 bila kuwa na wapenzi.
Kukeketwa tena[emoji849]hahaha ila unaujasiri au mlikeketwa?
ZoteUnazungumzia jinsia ipi ?
[emoji13][emoji13][emoji13]Mimi hadi nakufa
Hey,stress zako kamalizie huko..Sijaona maana ya uzi wako,
Ukishajua itakusaidia nini?
Hayo ni mambo binafsi ya mtu.
Au mtu akisema hawezi kusubiri utamhudumia wewe?
Umri kuanzia miaka 50 hasa kwa mwanamke anaweza kujizuia hata maisha yake yote yaliyobakia. Zaidi zaidi ukiweza kujizuia ni unakuwa na muda mrefu zaidi wa kuishi duniani. Wengi wa walioshi miaka mingi walikuwa hawana wenza.Mie naelekea 7 years
Umetisha🤣72hrs.
Tell me are you single lady?[emoji38][emoji38][emoji38]
Dadeki ilinyanduana na pepo mchafu weye 😂Kwa kipindi cha nyuma kabla ya kufikia umri nilionao wa 40+ ilikuwa nikifikia hatua hii kuna muda mwisho nawatoa weupe,japo ilikuwa mara chache,mara nyingi nilikuwa nastuka usingizini kabla sijafikia.
Niseme nko single nkaribishwe kambi ya fisiTell me are you single lady?
🤣🤣🤣...! Kwa nini asiwe pepo msafi?. Muda mwingine anakuwa 🔥🔥🔥Dadeki ilinyanduana na pepo mchafu weye 😂
Hapo upande wa kiroho umenigusa.Umri kuanzia miaka 50 hasa kwa mwanamke anaweza kujizuia hata maisha yake yote yaliyobakia. Zaidi zaidi ukiweza kujizuia ni unakuwa na muda mrefu zaidi wa kuishi duniani. Wengi wa walioshi miaka mingi walikuwa hawana wenza.
Pia kama wewe ukijizuia halafu ukawa na zile funga za muda fulani kwa ajili ya maombi, ni rahisi sana maombi yako kusikiwa na MUNGU ukiwa ktk hali hiyo.
Mimi nimewahi kujizuia wiki 5. Lakini naweza kujizuia zaidi ya hapo. Hali ninazokutana nazo nikiwa ktk hali hiyo kwenye muda wa kuanzia siku ya 4,5 mzigo unasimama sana hasa usiku. Kuanzia siku ya 6,7 toka nianze kuna ndoto za kama unakuwa kama uko na msichana,mara taap romance hivi,tena ile tamu hasa. Kwa kipindi cha nyuma kabla ya kufikia umri nilionao wa 40+ ilikuwa nikifikia hatua hii kuna muda mwisho nawatoa weupe,japo ilikuwa mara chache,mara nyingi nilikuwa nastuka usingizini kabla sijafikia.
Lakini kwa sasa nikifikia ndoto za kuwa karibu na msichana mrembo haidumu lazima nistuka kabla ya kufika mwisho. Kufikia wiki ya 3 hali inaweza kujirudia rudia ya hizo ndoto kwa kasi sana. Kufikia mwezi hali inaanza kuwa ya kawaida kabisa. Najiona niko normal. Na kufikia wiki ya 3 mwili unakuwa sawa sana,kuanzia ngozi,inakuwa soft,ukizingatia mimi ni mtu wa mazoezi kila siku.
Nilichoki-note kikubwa ktk hizo siku za namna hiyo shughuri zangu za kibiashara zinakuwa na mafanikio kuzidi. Mimi mwenyewe nakuwa najiamini.
Nenda katajasike kwa mwamposa ulishachafuliws na hayo mapepo, ipo siku yatakutia kabali kukugawana unyanyandue ndotoni.🤣🤣🤣...! Kwa nini asiwe pepo msafi?. Muda mwingine anakuwa 🔥🔥🔥