Unaweza kumruhusu mkeo akae nje mpaka saa 4 za usiku na anaowaita rafiki zake?

Unaweza kumruhusu mkeo akae nje mpaka saa 4 za usiku na anaowaita rafiki zake?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Kwema wajumbe?

Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.

Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.

Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.

Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.

Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.

Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.

So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
 
Unajua maana na kumkong'onta mtu?
Sema mpaka hapo habadiliki tena labda labda labda unioneshe kuwa now Ana mwenzake kidogo..
Mtu akiharibika ukubwani mtu akinywa pombe ukumbwani sizani Kama anaweza Rudi releni.
Pole jikaze kiume.
 
Duuuh, pole sana mkuu ila kuhusu kumpiga mkeo sikuungi mkono ishi na mkeo kwa akili ungetafuta namna ya kuongea nae huwenda angekuelewa akabadirika, nakushauri hivi kwa sababu siku utakuja kuuwa bure ujutie maisha yako yote lakini pole sana mkuu naamini atabadirika
 
Kwema wajumbe?
Ebana jana usiku nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi nyumbani.
Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.
Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.
Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.
Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.
Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
Kwa hasira niliyonayo ningefunga mlango akalale huko, tuliulizane kesho jioni nikirudi kazini.
 
Kwema wajumbe?
Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.
Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.
Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.
Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.
Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.
Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
Uko sahihi, Wanawake Wana ujinga wa kubipu , infact mwanamke anakua vile unavyotaka awe.

Ukiwa mwepesi mwepesi, atakushika tako, ni Heri agongwe Kwa mbinde mbinde sana nayeye akijua kua ukijua Utamchinja , kuliko agongwee Kwa sababu tu keshakuja huna Cha kufanya.

Itoshe tu kusema, Ndani ya Nyumba, mwanaume unatakiwa uonekane kweli ni Baba mwenye Mji, hii Unamaanisha, Ukishindwa njia ya Diplomasia, Tumia Kipigi, piga Kichapo sana mpaka maji aitwe mmaaa.


Nakuambia, huyo mwanamke hatokusema Kwa watu , Wala hata Ndugu zake au wazazi wake hawezi kuwaambia Kwa sababu anajua KAFANYA KOSA .

Ataugulia maumivu kimya kimya ... Siunaona Leo hajatoka??.

Kazia hapohapo.... Sasa ukitaka kumshikisha adabu kabisakabisaa baada ya hiko Kichapo , usimtombee Wala usimbembeleze Kaa kimya, Kila kitu Ndani jifanyie wewe mwenyewe .
 
Back
Top Bottom