Una ushauri mzuri sana! Nikuulize jambo" HUWA UNANYAMAZA ANAPOONGEA MUME WAKO?Hata kama umemfumanja usimpige
Maginjwa menginsiku hizi
Kuna kuteleza Kwa tailiz
USIJE UKANGAA KWENYE HEAD LINE ZA MILLARD AYO
Ukaacha watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ushauri mzuri sana! Nikuulize jambo" HUWA UNANYAMAZA ANAPOONGEA MUME WAKO?Hata kama umemfumanja usimpige
Maginjwa menginsiku hizi
Kuna kuteleza Kwa tailiz
USIJE UKANGAA KWENYE HEAD LINE ZA MILLARD AYO
Ukaacha watoto
Daaaa! 🤗 Mbona tutapigwa sana kwa Mwendo huu!Kwema wajumbe?
Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.
Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.
Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.
Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.
Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.
Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friend
Mume Wangu Ni mkimya Sana huwa hajibizani anaondoka tuUna ushauri mzuri sana! Nikuulize jambo" HUWA UNANYAMAZA ANAPOONGEA MUME WAKO?
Unajua Kuna Raha Sana mkiheshimiana?Una ushauri mzuri sana! Nikuulize jambo" HUWA UNANYAMAZA ANAPOONGEA MUME WAKO?
Sijui lkn.. mwanamke mpaka anapata wazo la kushinda na marafiki zake kuanzia asbh mpaka jion had usiku,,sijui Kwa kweliUnajua Kuna Raha Sana mkiheshimiana?
Kwa hii scenario mmoja hamuheshimu mwenzake
Hivi ulishaolewaga kumbe?Mume Wangu Ni mkimya Sana huwa hajibizani anaondoka tu
Ila Mimi namuheshimu Sana
Siwezi toka usiku peke yangu bila yeye au mchana bila ruhusa yake
Hilo life style la kuishi kama upon single wakati Ni mke Wa mtu Sina Kwa kweli,
7. Yrs agoHivi ulishaolewaga kumbe?
Hongera sana7. Yrs ago
Mpe talaka tu kabla hujamuua.Kwema wajumbe?
Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.
Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.
Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.
Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.
Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.
Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
Mwanamke asiye na heshima ni hasara kubwa.WANAUME WAOGA SIWAPENDI
Una bahati hujaoa Nurse....hawa huwa hawarudi kabisa, si afadhali huyo karudi!So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?