Unaweza kumruhusu mkeo akae nje mpaka saa 4 za usiku na anaowaita rafiki zake?

Unaweza kumruhusu mkeo akae nje mpaka saa 4 za usiku na anaowaita rafiki zake?

Kwema wajumbe?

Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.

Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.

Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.

Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.

Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.

Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.

So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
🤣🤣🤣 yaweza kuta unampga na mkata anasema uyu mshamba ajui hata kutandka wanawake akili zao wanazjua wenyew lakn mkuu umepata mnywaji mwenzie kama watt wamesha kuwa wakubwa kla mtu ajiachie uzee huo unakuja
 
Umefanya kosa kubwa sana kupiga ubavu wako,Mke hapigwi Kwa magumi na mateke,mke ana pigwa Kwa khanga na vitenge vikiambatana na fimbo yenye nyama Laini,Miaka 20 Sasa Niko kwenye ndoa sijawahi piga mke wangu japo Mimi ni mtata sana.
Kupiga mke sio ushujaa ni ugonjwa wa akili "you can't teach an old dog new tricks" badilika rafiki ,utaishia jela ujute maisha Yako yote
Hata mimi sijawahi kurusha hata kibao, naanzaje Sasa? Bytheway, mwanaume unawahi vipi Kurudi nyumbani?.
 
Umefanya kosa kubwa sana kupiga ubavu wako,Mke hapigwi Kwa magumi na mateke,mke ana pigwa Kwa khanga na vitenge vikiambatana na fimbo yenye nyama Laini,Miaka 20 Sasa Niko kwenye ndoa sijawahi piga mke wangu japo Mimi ni mtata sana.
Kupiga mke sio ushujaa ni ugonjwa wa akili "you can't teach an old dog new tricks" badilika rafiki ,utaishia jela ujute maisha Yako yote
Kila mtu ana namna yake ya kuendesha familia yake usitake kumpangia mtu.
Kwahiyo ww mkeo hata hasipo lala ndani ya nyumba akarudi asubuhi yake utaenda kumnunulia kanga na kitenge unampiga navyo?

Kuhusu jera kama umepagiwa kuishia jera utaenda tu maana kuna walioko jera na hawajawahi kufanya kosa lolote.
Acheni tabia za kujifanya mnajua familia na maisha ya watu.
 
Ogopa sana mwanamke anayelewa au anaye kunywa pombe! Hakuna mwanamke anaweza kumudu pombe …mwanamke anaye kunywa pombe ni rahisi sana kufanyiwa chochote na mtu yeyote….!

Hakuna mwanaume anapenda mwanamke anaye kunywa pombe ni ana vumilia tuu!


Kwa ulichofanya ni sawa ! Akili itamkaa sawa!
 
Kwema wajumbe?

Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.

Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.

Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.

Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.

Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.

Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.

So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
kama alikuomba ruhusa ni sawa,pia kumtandika sio sawa
 
Umeanza vibaya kwa kumpiga. Mke hapigwi narudia, mke hapigwi.
Yuko jamaa yangu mhehe alikua anajifanya kidume anarudi saa tano sita. Mke analalamika jamaa anakomaa.
Kuna siku mke karudi saa saba usiku, akamgongea mlango mwamba, mwamba akasema sifungui mlango, mwanamke akapandisha sauti na kusema nitavunja vioo vyote vya madirisha na kwenda kulala kwa bachelor yoyote aliye jirani huku akigonga mlango kwa jiwe. Mbona mwamba alifungua mlango huku mtaa mzima watu wanatega sikio, waifu aliendelea kusema ukinigusa tu mashahidi wangu Ni mtaa mzima, nakupeleka mahakamani.
Aisee mwamba alikaa ndani kwa kutulia utadhani sio mhehe.
 
Umeanza vibaya kwa kumpiga. Mke hapigwi narudia, mke hapigwi.
Yuko jamaa yangu mhehe alikua anajifanya kidume anarudi saa tano sita. Mke analalamika jamaa anakomaa.
Kuna siku mke karudi saa saba usiku, akamgongea mlango mwamba, mwamba akasema sifungui mlango, mwanamke akapandisha sauti na kusema nitavunja vioo vyote vya madirisha na kwenda kulala kwa bachelor yoyote aliye jirani huku akigonga mlango kwa jiwe. Mbona mwamba alifungua mlango huku mtaa mzima watu wanatega sikio, waifu aliendelea kusema ukinigusa tu mashahidi wangu Ni mtaa mzima, nakupeleka mahakamani.
Aisee mwamba alikaa ndani kwa kutulia utadhani sio mhehe.
Huyo n yeye. Mzee ingekua mm simfungulii na avunje dirisha shughuli ataiona. Mahakama ya bongo sio marekani. Chakujibu nitasema alikua ana vunja milango na madirisha hvo ni mwizi.
 
Kwema wajumbe?

Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.

Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.

Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.

Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.

Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.

Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.

So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
Huna baya mzee hawa warembo ukiwachekea utaishia kuwa limbukeni kwanza hivyo ulivyo mtandika na mkanda umemuonea huruma ulitakiwa mtwange ngumi mpaka pua ivunjike.
Mwanamke mjinga nini anathubutu vipi kutoa taarifa eti nipo na mashosti.
Bro huyo mkeo hana akili kabisa
 
Umeanza vibaya kwa kumpiga. Mke hapigwi narudia, mke hapigwi.
Yuko jamaa yangu mhehe alikua anajifanya kidume anarudi saa tano sita. Mke analalamika jamaa anakomaa.
Kuna siku mke karudi saa saba usiku, akamgongea mlango mwamba, mwamba akasema sifungui mlango, mwanamke akapandisha sauti na kusema nitavunja vioo vyote vya madirisha na kwenda kulala kwa bachelor yoyote aliye jirani huku akigonga mlango kwa jiwe. Mbona mwamba alifungua mlango huku mtaa mzima watu wanatega sikio, waifu aliendelea kusema ukinigusa tu mashahidi wangu Ni mtaa mzima, nakupeleka mahakamani.
Aisee mwamba alikaa ndani kwa kutulia utadhani sio mhehe.
Huyo nae bwege yaani kidume namlisha mwanamke alafu analeta nyodo.....wanaume wengine kama wangese vile mpaka wanakera.
 
Kila mtu ana namna yake ya kuendesha familia yake usitake kumpangia mtu.
Kwahiyo ww mkeo hata hasipo lala ndani ya nyumba akarudi asubuhi yake utaenda kumnunulia kanga na kitenge unampiga navyo?

Kuhusu jera kama umepagiwa kuishia jera utaenda tu maana kuna walioko jera na hawajawahi kufanya kosa lolote.
Acheni tabia za kujifanya mnajua familia na maisha ya watu.
Haya kapige mkeo Sasa Hadi uue,unaelewa maana ya ushauri wewe ,ulitaka niandike kile wewe unataka!? Basi kaue mkeo
 
Kwema wajumbe?

Ebana last night nilimkung'uta wife haswa kwa kuchelewa kurudi home.

Mchezo mzima ulianza hivi,me nilirudi jana mapema kutoka job,nikategemea nae atarudi muda wake niliouzoea ambao ni saa 11 jioni.

Mara ghafla nikaona kwenye saa 2 usiku mtu ananipigia eti ananiambia upuuzi sijui wa yuko na some friends wake wa high school wana tafrija ya get together..nikaguna tu then nikamkatia simu.

Nikamtafakari sana kwamba kumbe huyu pimbi nikiwa sipo anaweza kulala kabisa nje ya home.

Nikamuacha karudi home vizuri,nikamsikia ananukia harufu ya pombe na wakati huwa anazuga hanywi pombe.kumhoji akaniambia eti mashosti zake walimconvince anywe.

Ebana nilishikwa na hasira nikachomoa mkanda wangu wa suruali nilimpiga kama mtoto mdogo..leo siku nzima naona hajatoka ndani yupo tu kajinunisha.

So wakuu lablda niwaulize ni sahihi mke kunirudia nyumbani usiku kwa kisingizio kuwa alikua na the so called friends?
Wanaume tunazidi kupungua! Umempiga au umemtomasa!? Hizo nguvu za kununa anazitoa wapi? Kwangu mimi mwanamke mwisho kuingia ndani saa 12 jioni, zaidi ya hapo atafute pakwenda, mizigo yake itamkuta huko...kwanza nimekumbuka, sijaoa.
#KATAA NDOA
 
Kiufupi huyo ni kahaba aliyejificha kwenywe ndoa,Wanawake wengi ni makahaba ila akiwa ni mnywa pombe huyo ni risk zaidi.
Mnamke anyway pombe hana tofauti na mwanamke malaya,huyo Mkeo ukisafiri hua anakwenda kunywa.
 
Back
Top Bottom