Unaweza kupata mwanaume wa kukuoa ambaye hatakushawishi ufanye naye ngono kabla ya ndoa

Unaweza kupata mwanaume wa kukuoa ambaye hatakushawishi ufanye naye ngono kabla ya ndoa

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Jumamosi iliyopita tulikuwa na semina kanisani kwetu, semina hiyo iliyohusu mambo ya mahusiano mapenzi hadi ndoa ilichangamsha sana vijana wanaosubiria ndoa, maswali mbalimbali yaliulizwa na wanasemina wa jinsia zote. Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa kulikuwa na swali moja zuri sana ambalo liliulizwa na binti moja muhanga wa kuachwa na wachumba wapenda ngono kabla ya ndoa. Swali lilitanguliwa na maelezo mafupi kama ifuatavyo.

Binti : Mwalimu, mimi ni binti mwenye umri wa miaka 27, Nimewahi kuchumbiwa na wanaume 3 kwa nyakati tofauti maishani mwangu. Hao wote niliishia kuachana nao kwa sababu nilikataa kulala nao kabla ya ndoa . Bado sijaolewa hadi sasa. Kwa kuachana na hao wachumba 3 nimekuwa nikisumbuka sana kwa kujiuliza hili swali a mbali ni hili "Je naweza kupata mwanaume ambaye hatanishawishi nifanye naye ngono kabla ya ndoa?"

Mwalimu: Pole sana mpendwa kwa hiyo changamoto. Kiukweli hata kama ungelala nao wangekuacha tu. Kwa kuwa wangekutumia kingono kutimiza tamaa zao kisha wangekukimbia na kukuacha unaumia kihisia kwa kuwa ungekuwa umetumika kingono na kutupwa pasipo kuolewa.

Katika hali yoyote ile, unatakiwa usipunguze kiwango chako cha maadili kwa kukubali kuchezewa na wanaume wasio na maadili walio na tamaa ya kukufanya chombo cha kutimizia tamaa zao tu. Mwanamume anayetaka kukuoa kwa dhati huvutiwa na maadili yako na si vinginevyo.

Swali lako nalijibu hivi : UNAWEZA KUPATA MWANAUME WA KUKUOA AMBAYE HATAKUSHAWISHI UFANYE NAYE MAPENZI KABLA YA NDOA.

Kupitia Mungu utapata Mwanaume wa Kukuoa aliye mkomavu wa maadili. Siku zote, Mungu ni mwaminifu na anaheshimu uaminifu wa mtu mwaminifu. Achana na hofu.Hujachelewa. Tulia na uendelee kukomaa katika maadili na Mungu atakupatia mume mwema.

Mwenza mwema huletwa na BWANA.


Binti : Asante mwalimu kwa kunielewesha na kuwaelewesha wote waliowahi kupata changamoto kama yangu.

Mwalimu :Mbarikiwe nyote.
 
Kumpa ngono mwamaume hakumfanyi wala hakumshawishi akuoe labda umroge, kitakacho mshawishi mwanaume ni tabia yako na akili yako.
Na ndio maana mwanaume anaweza kula mbususi yako zaidi ya miaka 5 lakini bado akakuacha na ukaja kusikia kaenda kumposa binti ambaye hata hajawahi kumtongoza.

Wanaume anaye owa kwa misingi ya ngono ni wanaume mazuzu na ni mshamba wa mapenzi.
 
Kumpa ngono mwamaume hakumfanyi wala hakumshawishi akuoe labda umroge, kitakacho mshawishi mwanaume ni tabia yako na akili yako.
Na ndio maana mwanaume anaweza kula mbususi yako zaidi ya miaka 5 lakini bado akakuacha na ukaja kusikia kaenda kumposa binti ambaye hata hajawahi kumtongoza.

Wanaume anaye owa kwa misingi ya ngono ni wanaume mazuzu na ni mshamba wa mapenzi.
Na ndoa zao hazidumu na zikidumu wanapitia mateso makalii nakuja kuanzishaa mada kila cku uku jf kuhusu ndoa zao kisa walioleaa genje....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa Haina formula mara nyingi ni kitu kigumu kujua kitakuaje mbeleni.

Kuna ambao walioana bila kusex kabla ya ndoa na wakapata magarasa na ndoa zikafika ukingoni.

Kuna waliooana baada ya kusex sana na na hata wengine kusogezana na ndoa zao zinadumu kwa mafanikio na furaha.

Ndoa ni fumbo ambalo Halina majibu na utatoa tu majibu kutegemea uko wapi na nani ila uhalisia unabaki palepale hakuna formula ya ndoa haipo.

Matatizo ya ndoa yanawakumba watu wote na haitegemei Imani yao zaidi Ili kukutwa na changamoto za ndoa ila namna ya kutatua hizo changamoto ndio inatofautiana.
Kwa wasio wakristo huita matatizo/migogoro ya ndoa.
Kwa wakristo huita majaribu

Matatizo na majaribu ni kitu kilekile ni mtazamo tu

Mungu atujalie hekima ya kutokariri maisha na majibu ya maswali ya maisha.
 
Wanaume kwa vimada tunapuyanga tu, ila kwenye kuoa tunatuliza sana akili. Mwanamke mnyenyekevu mwenye heshima kwa mume ni rahisi sana kumfanya me ashawishike kumuoa
Kwahiyo sisi wenye midomo lkn tuna heshima itakuwaje
 
Ni changamoto sana, unaweza kuoa mwanamke bila kufanya naye mapenzi, matokeo yake mmeingia kwenye ndoa kumbe mwenzako sex drive iko chini kwelikweli. Yaani kufanya mapenzi mpaka umbembeleze wee, na hata akikubali bao moja hataki tena mpaka baada ya wiki. Ni bora mmnyanduane tuu kabla ya ndoa ili ujue kabisa yaliyomo yamo.
 
Jumamosi iliyopita tulikuwa na semina kanisani kwetu, semina hiyo iliyohusu mambo ya mahusiano mapenzi hadi ndoa ilichangamsha sana vijana wanaosubiria ndoa, maswali mbalimbali yaliulizwa na wanasemina wa jinsia zote. Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa kulikuwa na swali moja zuri sana ambalo liliulizwa na binti moja muhanga wa kuachwa na wachumba wapenda ngono kabla ya ndoa. Swali lilitanguliwa na maelezo mafupi kama ifuatavyo.

Binti : Mwalimu, mimi ni binti mwenye umri wa miaka 27, Nimewahi kuchumbiwa na wanaume 3 kwa nyakati tofauti maishani mwangu. Hao wote niliishia kuachana nao kwa sababu nilikataa kulala nao kabla ya ndoa . Bado sijaolewa hadi sasa. Kwa kuachana na hao wachumba 3 nimekuwa nikisumbuka sana kwa kujiuliza hili swali a mbali ni hili "Je naweza kupata mwanaume ambaye hatanishawishi nifanye naye ngono kabla ya ndoa?"

Mwalimu: Pole sana mpendwa kwa hiyo changamoto. Kiukweli hata kama ungelala nao wangekuacha tu. Kwa kuwa wangekutumia kingono kutimiza tamaa zao kisha wangekukimbia na kukuacha unaumia kihisia kwa kuwa ungekuwa umetumika kingono na kutupwa pasipo kuolewa.

Katika hali yoyote ile, unatakiwa usipunguze kiwango chako cha maadili kwa kukubali kuchezewa na wanaume wasio na maadili walio na tamaa ya kukufanya chombo cha kutimizia tamaa zao tu. Mwanamume anayetaka kukuoa kwa dhati huvutiwa na maadili yako na si vinginevyo.

Swali lako nalijibu hivi : UNAWEZA KUPATA MWANAUME WA KUKUOA AMBAYE HATAKUSHAWISHI UFANYE NAYE MAPENZI KABLA YA NDOA.

Kupitia Mungu utapata Mwanaume wa Kukuoa aliye mkomavu wa maadili. Siku zote, Mungu ni mwaminifu na anaheshimu uaminifu wa mtu mwaminifu. Achana na hofu.Hujachelewa. Tulia na uendelee kukomaa katika maadili na Mungu atakupatia mume mwema.

Mwenza mwema huletwa na BWANA.


Binti : Asante mwalimu kwa kunielewesha na kuwaelewesha wote waliowahi kupata changamoto kama yangu.

Mwalimu :Mbarikiwe nyote.
Sasa si lzm ufanye testing
 
Ni changamoto sana, unaweza kuoa mwanamke bila kufanya naye mapenzi, matokeo yake mmeingia kwenye ndoa kumbe mwenzako sex drive iko chini kwelikweli. Yaani kufanya mapenzi mpaka umbembeleze wee, na hata akikubali bao moja hataki tena mpaka baada ya wiki. Ni bora mmnyanduane tuu kabla ya ndoa ili ujue kabisa yaliyomo yamo.
Inakuwaje hii
 
Angekubali ingekula kwake angalau labda kama kashalipiwa magari na wahuni washasepa kwamba hawanaga nia kabisa.
 
Tatizo huyo mwalimu hakumuuliza huyo dada kama ni bikra au LA!
Kama sio Sasa why anikatalie wakati Kuna mtu alikula Bure tu halafu mimi nisubirie ndoa. Kama ni bikra then Ana haki na msimamo wake.
Plus Mwanaume kapewa mbegu ili zipande..... Sasa akikaa hivi hivi atakuwa kichaa
 
Back
Top Bottom