Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu binti muongo aligawa papuchi af wana wakamtosaJumamosi iliyopita tulikuwa na semina kanisani kwetu, semina hiyo iliyohusu mambo ya mahusiano mapenzi hadi ndoa ilichangamsha sana vijana wanaosubiria ndoa, maswali mbalimbali yaliulizwa na wanasemina wa jinsia zote. Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa kulikuwa na swali moja zuri sana ambalo liliulizwa na binti moja muhanga wa kuachwa na wachumba wapenda ngono kabla ya ndoa. Swali lilitanguliwa na maelezo mafupi kama ifuatavyo.
Binti : Mwalimu, mimi ni binti mwenye umri wa miaka 27, Nimewahi kuchumbiwa na wanaume 3 kwa nyakati tofauti maishani mwangu. Hao wote niliishia kuachana nao kwa sababu nilikataa kulala nao kabla ya ndoa . Bado sijaolewa hadi sasa. Kwa kuachana na hao wachumba 3 nimekuwa nikisumbuka sana kwa kujiuliza hili swali a mbali ni hili "Je naweza kupata mwanaume ambaye hatanishawishi nifanye naye ngono kabla ya ndoa?"
Mwalimu: Pole sana mpendwa kwa hiyo changamoto. Kiukweli hata kama ungelala nao wangekuacha tu. Kwa kuwa wangekutumia kingono kutimiza tamaa zao kisha wangekukimbia na kukuacha unaumia kihisia kwa kuwa ungekuwa umetumika kingono na kutupwa pasipo kuolewa.
Katika hali yoyote ile, unatakiwa usipunguze kiwango chako cha maadili kwa kukubali kuchezewa na wanaume wasio na maadili walio na tamaa ya kukufanya chombo cha kutimizia tamaa zao tu. Mwanamume anayetaka kukuoa kwa dhati huvutiwa na maadili yako na si vinginevyo.
Swali lako nalijibu hivi : UNAWEZA KUPATA MWANAUME WA KUKUOA AMBAYE HATAKUSHAWISHI UFANYE NAYE MAPENZI KABLA YA NDOA.
Kupitia Mungu utapata Mwanaume wa Kukuoa aliye mkomavu wa maadili. Siku zote, Mungu ni mwaminifu na anaheshimu uaminifu wa mtu mwaminifu. Achana na hofu.Hujachelewa. Tulia na uendelee kukomaa katika maadili na Mungu atakupatia mume mwema.
Mwenza mwema huletwa na BWANA.
Binti : Asante mwalimu kwa kunielewesha na kuwaelewesha wote waliowahi kupata changamoto kama yangu.
Mwalimu :Mbarikiwe nyote.
Ikiwa hajawahi kugawa atampata lkn kama si bikira atasubiri sana na ikiwa si bikira acheni hizo za kumdanganya kuwa Mungu atamletea mtu muaminifu ikiwa bikira hakuna.Jumamosi iliyopita tulikuwa na semina kanisani kwetu, semina hiyo iliyohusu mambo ya mahusiano mapenzi hadi ndoa ilichangamsha sana vijana wanaosubiria ndoa, maswali mbalimbali yaliulizwa na wanasemina wa jinsia zote. Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa kulikuwa na swali moja zuri sana ambalo liliulizwa na binti moja muhanga wa kuachwa na wachumba wapenda ngono kabla ya ndoa. Swali lilitanguliwa na maelezo mafupi kama ifuatavyo.
Binti : Mwalimu, mimi ni binti mwenye umri wa miaka 27, Nimewahi kuchumbiwa na wanaume 3 kwa nyakati tofauti maishani mwangu. Hao wote niliishia kuachana nao kwa sababu nilikataa kulala nao kabla ya ndoa . Bado sijaolewa hadi sasa. Kwa kuachana na hao wachumba 3 nimekuwa nikisumbuka sana kwa kujiuliza hili swali a mbali ni hili "Je naweza kupata mwanaume ambaye hatanishawishi nifanye naye ngono kabla ya ndoa?"
Mwalimu: Pole sana mpendwa kwa hiyo changamoto. Kiukweli hata kama ungelala nao wangekuacha tu. Kwa kuwa wangekutumia kingono kutimiza tamaa zao kisha wangekukimbia na kukuacha unaumia kihisia kwa kuwa ungekuwa umetumika kingono na kutupwa pasipo kuolewa.
Katika hali yoyote ile, unatakiwa usipunguze kiwango chako cha maadili kwa kukubali kuchezewa na wanaume wasio na maadili walio na tamaa ya kukufanya chombo cha kutimizia tamaa zao tu. Mwanamume anayetaka kukuoa kwa dhati huvutiwa na maadili yako na si vinginevyo.
Swali lako nalijibu hivi : UNAWEZA KUPATA MWANAUME WA KUKUOA AMBAYE HATAKUSHAWISHI UFANYE NAYE MAPENZI KABLA YA NDOA.
Kupitia Mungu utapata Mwanaume wa Kukuoa aliye mkomavu wa maadili. Siku zote, Mungu ni mwaminifu na anaheshimu uaminifu wa mtu mwaminifu. Achana na hofu.Hujachelewa. Tulia na uendelee kukomaa katika maadili na Mungu atakupatia mume mwema.
Mwenza mwema huletwa na BWANA.
Binti : Asante mwalimu kwa kunielewesha na kuwaelewesha wote waliowahi kupata changamoto kama yangu.
Mwalimu :Mbarikiwe nyote.
Kwa taarifa yako bikira sio ticket ya kuolewa.kama si bikira atasubiri sana
Una uhakika na ulicho andika?Huyu binti muongo aligawa papuchi af wana wakamtosa
Ngono ni ngono iwe kabla ya ndoa au baada.Jumamosi iliyopita tulikuwa na semina kanisani kwetu, semina hiyo iliyohusu mambo ya mahusiano mapenzi hadi ndoa ilichangamsha sana vijana wanaosubiria ndoa, maswali mbalimbali yaliulizwa na wanasemina wa jinsia zote. Miongoni mwa maswali yaliyoulizwa kulikuwa na swali moja zuri sana ambalo liliulizwa na binti moja muhanga wa kuachwa na wachumba wapenda ngono kabla ya ndoa. Swali lilitanguliwa na maelezo mafupi kama ifuatavyo.
Binti : Mwalimu, mimi ni binti mwenye umri wa miaka 27, Nimewahi kuchumbiwa na wanaume 3 kwa nyakati tofauti maishani mwangu. Hao wote niliishia kuachana nao kwa sababu nilikataa kulala nao kabla ya ndoa . Bado sijaolewa hadi sasa. Kwa kuachana na hao wachumba 3 nimekuwa nikisumbuka sana kwa kujiuliza hili swali a mbali ni hili "Je naweza kupata mwanaume ambaye hatanishawishi nifanye naye ngono kabla ya ndoa?"
Mwalimu: Pole sana mpendwa kwa hiyo changamoto. Kiukweli hata kama ungelala nao wangekuacha tu. Kwa kuwa wangekutumia kingono kutimiza tamaa zao kisha wangekukimbia na kukuacha unaumia kihisia kwa kuwa ungekuwa umetumika kingono na kutupwa pasipo kuolewa.
Katika hali yoyote ile, unatakiwa usipunguze kiwango chako cha maadili kwa kukubali kuchezewa na wanaume wasio na maadili walio na tamaa ya kukufanya chombo cha kutimizia tamaa zao tu. Mwanamume anayetaka kukuoa kwa dhati huvutiwa na maadili yako na si vinginevyo.
Swali lako nalijibu hivi : UNAWEZA KUPATA MWANAUME WA KUKUOA AMBAYE HATAKUSHAWISHI UFANYE NAYE MAPENZI KABLA YA NDOA.
Kupitia Mungu utapata Mwanaume wa Kukuoa aliye mkomavu wa maadili. Siku zote, Mungu ni mwaminifu na anaheshimu uaminifu wa mtu mwaminifu. Achana na hofu.Hujachelewa. Tulia na uendelee kukomaa katika maadili na Mungu atakupatia mume mwema.
Mwenza mwema huletwa na BWANA.
Binti : Asante mwalimu kwa kunielewesha na kuwaelewesha wote waliowahi kupata changamoto kama yangu.
Mwalimu :Mbarikiwe nyote.
Ngono kabla ya ndoa ni uzinzi, ngono mkiwa ktk ndoa sio uzinifu. Pima hoja yako.Ngono ni ngono iwe kabla ya ndoa au baada
Yamemkuta ila kaamua tu kuligeuza swali kijanjaUna uhakika na ulicho andika?
Yamemkuta ila kaamua tu kuligeuza swali kijanja
Miaka 27 lazima ishasuguliwa sanaKwani bikira isipokuwepo ndio utasema alikuwa mgawaji?
Acha kuwaza kivulana vulana mkuu
Kwa taarifa yako bikira sio ticket ya kuolewa.
Umenisoma?
Na huyo mkaka kama sio bikira hata wale wanawali 70 wa peponi atawasoma tu ktk aya 😂😂Yeye ni bikrA???
Tena km sio bikra asilete ujinga huo kwa wanaume wa kueleweka maana atakula red card chapuuuuuu
Unafurahisha man kwa wasiwasi ulionao 🤣Miaka 27 lazima ishasuguliwa sana
Sina wasiwasi kazi ya mbususu ni kuchakatwa, mabinti wa kanisa tunapita nao sana huku mtaaniUnafurahisha man kwa wasiwasi ulionao 🤣
Rudia
Rudia kusoma nilichoandika
Sina wasiwasi kazi ya mbususu ni kuchakatwa, mabinti wa kanisa tunapita nao sana huku mtaani