Tondelo
Member
- Apr 29, 2011
- 25
- 28
Kwa kweli wanaume tuko hivi asilimia [emoji817]Kumpa ngono mwamaume hakumfanyi wala hakumshawishi akuoe labda umroge, kitakacho mshawishi mwanaume ni tabia yako na akili yako.
Na ndio maana mwanaume anaweza kula mbususi yako zaidi ya miaka 5 lakini bado akakuacha na ukaja kusikia kaenda kumposa binti ambaye hata hajawahi kumtongoza.
Wanaume anaye owa kwa misingi ya ngono ni wanaume mazuzu na ni mshamba wa mapenzi.