Unaweza kupata mwanaume wa kukuoa ambaye hatakushawishi ufanye naye ngono kabla ya ndoa

Kama bikra sawa ila kama wamekutoboa usiniambie habarii hizo
 
Mazingira yenu ndo chachu haswa katika kufanya au kutofanya kabla ya ndoa.
Ondoa neno "mazingira yetu" kisha weka "mporomoko wa maadili " hapo itaeleweka wazi kuwa kufanya au kutofanya kabla ya ndoa hutegemeana na mhusika (hasa ke) kulelewa nje ya maadili.

Na ndio maana wanawake wengi wa aina hiyo huchezewa mno na wanaume kisha huachwa.
 
Sex before marriage dini zote na mila pia zinapinga jambo Ili KWA faida ya jinsia zote mbili.
Ukifanya ngono na mtu unakuwa umeunganisha nafsi na mkiungana nafsi huwezi tambua mabaya ya mwenza, sababu ya ule msukumo wa nyege, nyege sio upendo. Nyege uisha miezi 3 ya ndoa na kuona kawaida tu, ndipo tabia uonekana, tabia ndio ufanya ndoa kudumu au kutodumu.
Tabia ni matokeo ya malezi.
 
Umenena vyema ndoa na kifo havieleweki.
 
Umeeleweka mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…