Unaweza lazimisha mwili kutenda lakini huwezi kulazimisha Imani, Kwanini uislam unalazimisha imani ?

Unaweza lazimisha mwili kutenda lakini huwezi kulazimisha Imani, Kwanini uislam unalazimisha imani ?

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Waweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake.

Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao mtawaita wasioamini ila wao wasichoamini ni kwamba hakuna Mungu ila vidole vyao vinafanya kazi za kuwalisha, kuwavisha, kuwalinda, n.k.

Na kipimo cha imani huwa ni pale mtu anavyopevuka akili akiwa mtu mzima, Utotoni aliamini kwa asilimia kubwa ikiwa ni influence ya imani ya wazazi / walezi, kwamba kama baba anaabudu mizimu, ukristo, uislam, uhindu, n.k. basi na watoto atawaamulia wafuate nyayo zake katika imani.

Mtu haamini ukristo, ataachwa aamini chochote kwasababu huwezi kumlazimisha mtu imani, imani ipo kwenye roho na sio kwenye mwili, ukimlazimisha atasema kwa mdomo anaamini lakini moyoni ni tofauti kabisa, ina faida gani ?

ukihama ukristo sanasana unakosa tu zile huduma za kidhehebu kama kuzikwa kwa mujibu wa taratibu zao, mtu aliyehama imani yafaa zaidi azikwe kwa taratibu za imani aliyohamia. ila hawakudhuru wala kukupa hata kofi wala vitisho, Ni kweli kuna baadhi ya wakristo wakibadili dini hutengwa lakini ikitokea hivyo tayari ni kukiuka misingi ya dini, huwezi kumlazimisha mtu aamini asichoamini.

Shughuli ni pevu sana kwenye uislam

Quran imeweka wazi kwamba mtu akiwa muislam haruhusiwi kuhama dini na kuna adhabu kali akihama, nchi zilizojaa waislam waweza kuuawa, kutengwa, kuabishwa, kufungwa, n.k. Wapo waislam wengi hawaamini lakini wanaogopa kubadili dini, wanaofanikiwa kuhama nchi ndio wanaweza kubadili dinI, Nchi kama Saudi Arabia inafuata sheria za kiislam na kwenye katiba yao ya nchi kuna sheria ya kuua muislam anaebadali dini, Unadhani nani atadiriki kutamka kubadili dini ?,

Kuna mistari kibao inashinikiza kunyanyasa hat kuua wanaobadili dini ama wenye dini zingine, michache ni kama Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini

Nchi ambazo ni dola za kiislam zinaminya uhuru wa dini zingine kuabudu, wanataka watu wabudu uislam tu, na ikitokea umekosoa uislam unapewa kesi ya blasphemny, Majuzi tu hapo Palistan kuna baba kapigwa sana nusu afe kwa kuikosoa Quran na kupewa kesi ya Blasphemny, Lakini ni kawaida sana kwa waislam kuukosoa ukristo

 
Waweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake.

Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao mtawaita wasioamini ila wao wasichoamini ni kwamba hakuna Mungu ila vidole vyao vinafanya kazi za kuwalisha, kuwavisha, kuwalinda, n.k.

Na kipimo cha imani huwa ni pale mtu anavyopevuka akili akiwa mtu mzima, Utotoni aliamini kwa asilimia kubwa ikiwa ni influence ya imani ya wazazi / walezi, kwamba kama baba anaabudu mizimu, ukristo, uislam, uhindu, n.k. basi na watoto atawaamulia wafuate nyayo zake katika imani.

Mtu haamini ukristo, ataachwa aamini chochote kwasababu huwezi kumlazimisha mtu imani, imani ipo kwenye roho na sio kwenye mwili, ukimlazimisha atasema kwa mdomo anaamini lakini moyoni ni tofauti kabisa, ina faida gani ?

Mtu haamini uislam, hio ni shughuli nyingine kabisa ?

Quran imeweka wazi kwamba mtu akiwa muislam haruhusiwi kuhama dini na kuna adhabu kali akihama, nchi zilizojaa waislam waweza kuuawa, kutengwa, kuabishwa, kufungwa, n.k. ukitangaza umebadili dini, ndio maana wengi inabidi wahame kwanza nchi ndio wabadili dini.

Nchi ambazo ni dola za kiislam zinaminya uhuru wa dini zingine kuabudu, wanataka watu wabudu uislam tu, na ikitokea umekosoa uislam unapewa kesi ya blasphemny, Majuzi tu hapo Palistan kuna baba kapigwa sana nusu afe kwa kuikosoa Quran na kupewa kesi ya Blasphemny, Lakini ni kawaida sana kwa waislam kuukosoa ukristo
hujakutana na wakatolik aisee. mtu analaaniwa na familia nzima, kwamba amedharau dini ya wzazi wake
 
Ndio katiba yao sio kila nchi inafuata demokrasia ndio tatioz lenu , sheria ipo kweny ngazi ya juu ya nchi ndio wanatumia katiba hiyo , hakuna ulazima fanya kuhama basi nchi nyingine.

Fauta katiba sio kila kona wanafuata wazungu kweny sheria zao , wanachokataa ni nyie mkibadili kama wanawake wanaanza kutembea uchi kinyume na maadili yake , ushoga , ubakaji
 
hujakutana na wakatolik aisee. mtu analaaniwa na familia nzima, kwamba amedharau dini ya wzazi wake
Huyu jamaa hajui kabisa anaongea kweli , kuna mtu akioa kabila jingine anapewa laana ..Kaangalie barbana huyu ndugu zake huko uchagani walivyomshambulia kwa kuoa chasaka.

Hata alivyobadili dini alishambuliwa huko kwao , kuna David Mosha kuoa yule binti huko kwao alishambuliwa japo wameshaachana
 
Waweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake.

Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao mtawaita wasioamini ila wao wasichoamini ni kwamba hakuna Mungu ila vidole vyao vinafanya kazi za kuwalisha, kuwavisha, kuwalinda, n.k.

Na kipimo cha imani huwa ni pale mtu anavyopevuka akili akiwa mtu mzima, Utotoni aliamini kwa asilimia kubwa ikiwa ni influence ya imani ya wazazi / walezi, kwamba kama baba anaabudu mizimu, ukristo, uislam, uhindu, n.k. basi na watoto atawaamulia wafuate nyayo zake katika imani.

Mtu haamini ukristo, ataachwa aamini chochote kwasababu huwezi kumlazimisha mtu imani, imani ipo kwenye roho na sio kwenye mwili, ukimlazimisha atasema kwa mdomo anaamini lakini moyoni ni tofauti kabisa, ina faida gani ?

Mtu haamini uislam, hio ni shughuli nyingine kabisa ?

  • Quran imeweka wazi kwamba mtu akiwa muislam haruhusiwi kuhama dini na kuna adhabu kali akihama, nchi zilizojaa waislam waweza kuuawa, kutengwa, kuabishwa, kufungwa, n.k. Wapo waislam wengi hawaamini lakini wanaogopa kubadili dini, wanaofanikiwa kuhama nchi ndio wanaweza kubadili dini

  • Nchi ambazo ni dola za kiislam zinaminya uhuru wa dini zingine kuabudu, wanataka watu wabudu uislam tu, na ikitokea umekosoa uislam unapewa kesi ya blasphemny, Majuzi tu hapo Palistan kuna baba kapigwa sana nusu afe kwa kuikosoa Quran na kupewa kesi ya Blasphemny, Lakini ni kawaida sana kwa waislam kuukosoa ukristo

View attachment 3007443
Uhuru wa kuaabudu ndio kukashifu katiba yao?Mtakufa sana fanya yako ndio maana kila siku mnataka kuchoma Qur an , kama kitu hakikuhusu kwa nn ukashifu ?
 
Ndio katiba yao sio kila nchi inafuata demokrasia ndio tatioz lenu , sheria ipo kweny ngazi ya juu ya nchi ndio wanatumia katiba hiyo , hakuna ulazima fanya kuhama basi nchi nyingine.

Fauta katiba sio kila kona wanafuata wazungu kweny sheria zao , wanachokataa ni nyie mkibadili kama wanawake wanaanza kutembea uchi kinyume na maadili yake , ushoga , ubakaji
Inabidi kuwe na katiba ya nchi kwajili ya wananchi wote wenye dini tofauti,

Nchi ni watu wa matabaka tofauti tofauti sio dini
 
Ndio katiba yao sio kila nchi inafuata demokrasia ndio tatioz lenu , sheria ipo kweny ngazi ya juu ya nchi ndio wanatumia katiba hiyo , hakuna ulazima fanya kuhama basi nchi nyingine.

Fauta katiba sio kila kona wanafuata wazungu kweny sheria zao , wanachokataa ni nyie mkibadili kama wanawake wanaanza kutembea uchi kinyume na maadili yake , ushoga , ubakaji
mbona hao jamaa wa kobazi ndo wanaongoza, sema wanafanya kwa kificho sana
hayo mambo yamekidhiri huko pwani,zenji na mombasa. mkuu hizo sehemu ukizubaa unaliwa kiboga
 
Umewahi sikia mkatoliki aliyehama dhehebu au imani akipigwa japo kofi?
wale wengine wanakuua kabisa tena kwa jambia
hawa wengine unatengwa, kwamba ni lazima ubaki dini ya wazee
ukijiua hawakuziki, wanamhukumu kwamba yeye ni wa motoni, na biblia imesema tusihukumu
 
  • Thanks
Reactions: K11
Unatakiwa kusoma kwanza , kati ya kukashifu , hiyo ni katiba ya nchi hakuna mtu kalazimishwa kuswali salah tano kweny hizo nchi , tatizo mnataka kutembea uchi kwa kivuli cha demokrasia

Kingine unasema Qur an imetoa hukumu , acha kutufanya sisi wajinga tuonyeshe hiyo ayah kweny Qur an ?

Qur an imekataza kulazimisha kila mtu apate elimu then ndio afuate nakupa ayah

Surah Al-Baqarah, Ayah 256:

"Hakuna kulazimisha katika Dini. Uongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shetani na akamwamini Mwenyezi Mungu bila shaka ameshika kishikio madhubuti kisichovunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua."


Nyie mnafanya kejeli na katiba ya nchi ndio tatizo lenu , sasa tuonyeshe iyo aayah kweny Qur an !?
 
Umewahi sikia mkatoliki aliyehama dhehebu au imani akipigwa japo kofi?
We unakaa mkoa gani ? kaangalie tu ndoa ya mkatoliki na msabato ndio utajua kimbembe , mpaka maiti watu wanasusia unasema kupigwa kofi
 
wale wengine wanakuua kabisa tena kwa jambia
hawa wengine unatengwa, kwamba ni lazima ubaki dini ya wazee
ukijiua hawakuziki, wanamhukumu kwamba yeye ni wa motoni, na biblia imesema tusihukumu
Sema ukihama ukatoliki labda unakosa tu zile huduma za kidhehebu kama kuzikwa kwa mujibu wa taratibu zao, ila hawakudhuru wala kukupa vitisho kama wafanyavyo waislamu.

Ukizaliwa Mkristo uko huru kuamua na kufanya chochote utakavyo ilimradi hauvunji katiba ya Nchi, lakini ukizaliwa muislam hauna uhuru wa kuamua na kufanya utakavyo kisha ukabaki salama.
 
Sema ukihama ukatoliki labda unakosa tu zile huduma za kidhehebu kama kuzikwa kwa mujibu wa taratibu zao, ila hawakudhuru wala kukupa vitisho kama wafanyavyo waislamu.

Ukizaliwa Mkristo uko huru kuamua na kufanya chochote utakavyo ilimradi hauvunji katiba ya Nchi, lakini ukizaliwa muislam hauna uhuru wa kuamua na kufanya utakavyo kisha ukabaki salama.
Acha kujidanganya hao jamaa mpaka jina unachaguliwa la kizungu unasema kuhama , tumezika sana wakristo waliotengwa na kanisa mtu hata wazazi wake wameshindwa kufika kweny msiba .

Rjea mwaka juzi kule Arusha yule mdada mpaka akazikwa na wadudu .
 
Back
Top Bottom