Lakini hawamfanyi chochote iwe kuua kama kwenye uislamuhujakutana na wakatolik aisee. mtu analaaniwa na familia nzima, kwamba amedharau dini ya wzazi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hawamfanyi chochote iwe kuua kama kwenye uislamuhujakutana na wakatolik aisee. mtu analaaniwa na familia nzima, kwamba amedharau dini ya wzazi wake
Mbona wasabato kibao wameoa wakatoliki na kuolewa naoWe unakaa mkoa gani ? kaangalie tu ndoa ya mkatoliki na msabato ndio utajua kimbembe , mpaka maiti watu wanasusia unasema kupigwa kofi
Niambie wapi uliona mkatoliki akidhuriwa kisa kuhama dhehebu au imani,?.We unakaa mkoa gani ? kaangalie tu ndoa ya mkatoliki na msabato ndio utajua kimbembe , mpaka maiti watu wanasusia unasema kupigwa kofi
Nionyeshe ayah kweny uislamu inayotoa amri kama mtoa mada , kabla sijatoka online nikupe somo .Lakini hawamfanyi chochote iwe kuua kama kwenye uislamu
Acha uongo wewe , nyuzi kibao humu mnashindwa kuoana kisa madhehebu tofauti ..Danganya watoto sio mimi .Mbona wasabato kibao wameoa wakatoliki na kuolewa nao
Wewe Muislam unaweza zikwa kwa taratibu za Kikristo ilihali umeshahama Ukristo?.Acha kujidanganya hao jamaa mpaka jina unachaguliwa la kizungu unasema kuhama , tumezika sana wakristo waliotengwa na kanisa mtu hata wazazi wake wameshindwa kufika kweny msiba .
Rjea mwaka juzi kule Arusha yule mdada mpaka akazikwa na wadudu .
Ona hili linaongea nn ? Wasilamu wangapi hawaendi msikitini hata kusoma Qur an ahwajui mbona wanazikwa kiislamu hata wasanii .Wewe Muislam unaweza zikwa kwa taratibu za Kikristo ilihali umeshahama Ukristo?.
Kama alijitenga na taratibu za kanisa ruksa wao kumkana kuwa sio mwenzao.
Pamoja na hayo, hauwezi sikia eti flani kauliwa sijui kapigwa mawe kisa kahama dhehebu au kabadili imani.
Hayo ya kuua au kudhuru kiumbe ambaye haujamuumba mnafanya nyie tu.
Jitihada mnazoziweka kwenye kuupiga vita Uislamu ni kubwa sana, na kama hii dini ingekuwa ni ubunifu wa mwanadamu ingeshakufa zamani sana, ila suprisingly mbona ndo the fastest growing religioun in the world?Waweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake.
Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao mtawaita wasioamini ila wao wasichoamini ni kwamba hakuna Mungu ila vidole vyao vinafanya kazi za kuwalisha, kuwavisha, kuwalinda, n.k.
Na kipimo cha imani huwa ni pale mtu anavyopevuka akili akiwa mtu mzima, Utotoni aliamini kwa asilimia kubwa ikiwa ni influence ya imani ya wazazi / walezi, kwamba kama baba anaabudu mizimu, ukristo, uislam, uhindu, n.k. basi na watoto atawaamulia wafuate nyayo zake katika imani.
Mtu haamini ukristo, ataachwa aamini chochote kwasababu huwezi kumlazimisha mtu imani, imani ipo kwenye roho na sio kwenye mwili, ukimlazimisha atasema kwa mdomo anaamini lakini moyoni ni tofauti kabisa, ina faida gani ?
Mtu haamini uislam, hio ni shughuli nyingine kabisa ?
- Quran imeweka wazi kwamba mtu akiwa muislam haruhusiwi kuhama dini na kuna adhabu kali akihama, nchi zilizojaa waislam waweza kuuawa, kutengwa, kuabishwa, kufungwa, n.k. Wapo waislam wengi hawaamini lakini wanaogopa kubadili dini, wanaofanikiwa kuhama nchi ndio wanaweza kubadili dini
- Nchi ambazo ni dola za kiislam zinaminya uhuru wa dini zingine kuabudu, wanataka watu wabudu uislam tu, na ikitokea umekosoa uislam unapewa kesi ya blasphemny, Majuzi tu hapo Palistan kuna baba kapigwa sana nusu afe kwa kuikosoa Quran na kupewa kesi ya Blasphemny, Lakini ni kawaida sana kwa waislam kuukosoa ukristo
View attachment 3007443
Nimempa mda nipo online alete andiko kweny Qur an anazunguka , hawa hawajui Qur an ndio tatizo ?Sijaona alipolazimoshwa mtu hapo
Huyu kwanza atuletee hiyo ayah kweny Qur an , unakuta linaongea halijui hata Qur an .....Hawa jamaa watawashika wasiokuwa na elimu tu.Jitihada mnazoziweka kwenye kuupiga vita Uislamu ni kubwa sana, na kama hii dini ingekuwa ni ubunifu wa mwanadamu ingeshakufa zamani sana, ila suprisingly mbona ndo the fastest growing religioun in the world?
Hoja zako zote hapo juu umeelezea mtazamo wako na sio uhalisia ulivyo, kama kawaida kwa wenzako waliotangulia katika jitihada hizi mitazamo yako imejaa either ujinga juu ya unachokiongelea ama malengo maalum unayojaribu kuyafikia.
Kwanza kabisa unapaswa kujua kwamba imani sio matamshi bali ni uhalisia wa kilichopo moyoni mwako, ukilijua hilo utagundua hakuna anayeweza kulazimisha Imani juu ya mwengine, sio Uislami wala dini nyengine yoyote. Hapo tu tayari kichwa chako cha habari kinakuwa kimebeba maudhui potofu.
Japo sina hakika na hiyo clip yako, ila nikuulize tu hao waliompiga ni mamlaka ya kiislamu ama ni watu binafsi? na kama kweli huyo alipigwa kwa kuikosoa Quran je alisema nini exctly? Au unaona ukiweka picha ya mtu anapigwa na ukasupport na maneno yako binafsi inatosha? Hata huku kwetu baadhi ya maeneo wezi huchomwa moto!
Jibu swali, nani aliwahi dhuriwa au uawa kisa kahama Ukatoliki kawa either Msabato au Muislamu?Ona hili linaongea nn ? Wasilamu wangapi hawaendi msikitini hata kusoma Qur an ahwajui mbona wanazikwa kiislamu hata wasanii .
Mtu haendi tu kanisani mnamtenga akihama ndio unatudanganya kwamba ni watu wema, nimekaa na nyie miaka kibao nawajua mwanzo mwisho ni wanafiki tena wazandiki wakubwa .
Waislamu wengi hawana akili, ni mazuzu kama allah na shoga wake mudi.Ndio katiba yao sio kila nchi inafuata demokrasia ndio tatioz lenu , sheria ipo kweny ngazi ya juu ya nchi ndio wanatumia katiba hiyo , hakuna ulazima fanya kuhama basi nchi nyingine.
Fauta katiba sio kila kona wanafuata wazungu kweny sheria zao , wanachokataa ni nyie mkibadili kama wanawake wanaanza kutembea uchi kinyume na maadili yake , ushoga , ubakaji
Leta ayah kweny Qur an mnuka mdomo !?Waislamu wengi hawana akili, ni mazuzu kama allah na shoga wake mudi.
Kuna dogo alitengwa mpaka alipokufa wazazi wake hawakuja ..Jibu swali, nani aliwahi dhuriwa au uawa kisa kahama Ukatoliki kawa either Msabato au Muislamu?
Quran 4:89 >> Wasioamini uislam wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikataa basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.Jitihada mnazoziweka kwenye kuupiga vita Uislamu ni kubwa sana, na kama hii dini ingekuwa ni ubunifu wa mwanadamu ingeshakufa zamani sana, ila suprisingly mbona ndo the fastest growing religioun in the world?
Hoja zako zote hapo juu umeelezea mtazamo wako na sio uhalisia ulivyo, kama kawaida kwa wenzako waliotangulia katika jitihada hizi mitazamo yako imejaa either ujinga juu ya unachokiongelea ama malengo maalum unayojaribu kuyafikia.
Kwanza kabisa unapaswa kujua kwamba imani sio matamshi bali ni uhalisia wa kilichopo moyoni mwako, ukilijua hilo utagundua hakuna anayeweza kulazimisha Imani juu ya mwengine, sio Uislami wala dini nyengine yoyote. Hapo tu tayari kichwa chako cha habari kinakuwa kimebeba maudhui potofu.
Japo sina hakika na hiyo clip yako, ila nikuulize tu hao waliompiga ni mamlaka ya kiislamu ama ni watu binafsi? na kama kweli huyo alipigwa kwa kuikosoa Quran je alisema nini exctly? Au unaona ukiweka picha ya mtu anapigwa na ukasupport na maneno yako binafsi inatosha? Hata huku kwetu baadhi ya maeneo wezi huchomwa moto!
Ilikuwa kweny vita sio kubadii diniSurat An-Nisa' [4:89 >> WAISLAM WATAOBADILI DINI, MUWAKAMATENI NA KUWAUA POPOTE MTAPOWAKUTA
Acha kupotosha, alichosema mtume Mohammad akiwa vitani, akiwa safarini, akiwa nyumbani kwake, n.k ndicho kinachofatwa, Alishatoa kibali muislam inabidi apigwe mapanga akibadili dini, Simple like thatIlikuwa kweny vita sio kubadii dini
Jaribu kuwa na heshima kidogo basi, mijadala ya kidini si ya kila mtu,hapa wanatakiwa watu wenye kujielewa na wakomavuWaislamu wengi hawana akili, ni mazuzu kama allah na shoga wake mudi.