Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Tatizo hujui unagoogle kwa wanaopotosha! Sasa niambie wapi Mtume aliua au kuna aliyeacha uislamu akauliwa ? Tumia hata hadith nangojea hapa?acha kujitetea kwa maneno matupu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hujui unagoogle kwa wanaopotosha! Sasa niambie wapi Mtume aliua au kuna aliyeacha uislamu akauliwa ? Tumia hata hadith nangojea hapa?acha kujitetea kwa maneno matupu,
huna hoja unaleta story tu, weka mstari preceding ama conceding unao backup context ya Sahih al-Bukhari, 9:83:17 kutetea hizo clip zakoAkigueka na kupigana vita na waisamu , kupambana kwa kusambaza taarifa za uongo juu ya uislamu .....Kuacha battle hata leo unasikia askari wanahukumiwa kunyongwa kwa kukimbia vita .. Hao ni wasaliti wataenda kutoa siri.
Sheria zake zinatumika na baadhi ya nchi kwa sasa, mfano Saudi Arabi waislam wanaogopa kutamka wamebadili dini sababu sheria zao zinazofata uislam na zinawatisha wakifanya hivyo watauwawa,Tatizo hujui unagoogle kwa wanaopotosha! Sasa niambie wapi Mtume aliua au kuna aliyeacha uislamu akauliwa ? Tumia hata hadith nangojea hapa?
Unajufunza nini kwa fala allah? Unajifunza nini kwa mudi aliyebanwa nacmashetani pangoni? Unajifunza nini kwa muhammad ansyeomba kuingizwa na allah?Sasa mpumbavu hujui kitu halafu hautaki kujifunza . Nani apoteze muda wake ?
Hauna hoja maana huleti ayah ni maneno ya kutunga , ipo aya inasema ''Nyie mna dini yenu na sisi tun dini yetu'' Hap watu walimfuata mtume akafanye ibada kweny Miungu yao , huo hayo ndio maelekezo alipewa awajaibu.
Hkuna ayah zaidi ya wale wanaobadili na kupigana vita na waislamu kwa kutaka watoke kweny uislamu
Mdogo wangu mbona huelewi!? Hao walikuwa amadui na kupigana na uislamu hizo ayah tumesoma na kuelwa umesema surah 4:89 sasa nenda ayah ya 90 inayofuata ndio utajua hao ni maadui na wle wasiopmabana na uislamu wamejiondoa kimya kimya sio ruhusu kuwagusa .Sheria zake zinatumika na baadhi ya nchi kwa sasa, mfano Saudi Arabi waislam wanaogopa kutamka wamebadili dini sababu sheria zao zinazofata uislam na zinawatisha wakifanya hivyo watauwawa,
Tatizo hauna unalojua mpakwa mafuta.Unajufunza nini kwa fala allah? Unajifunza nini kwa mudi aliyebanwa nacmashetani pangoni? Unajifunza nini kwa muhammad ansyeomba kuingizwa na allah?
Basi dogo endelea ayah inayofuata maana sijui unacopy wapi huko ? 😀 😀 😀 😀huna hoja unaleta story tu, weka mstari preceding ama conceding unao backup context ya Sahih al-Bukhari, 9:83:17 kutetea hizo clip zako
ISIPOKUWABasi dogo endelea ayah inayofuata maana sijui unacopy wapi huko ? 😀 😀 😀 😀
'' Isipo kuwa wale wanao fungamana na watu ambao kuna maagano baina yenu na wao, au wale waliyo kujieni vifuani vyao hali zimewashinda kupigana nanyi au kupigana na kaumu yao. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angewapa nguvu juu yenu, nao wangeli pigana nanyi. Basi wakijiepusha nanyi na wasipigane nanyi, na wakakuleteeni amani, basi Mwenyezi Mungu hakukupeni njia ya kuwaua''
Isipokuwa yule aliyejisalimisha , ina maana hao walikuwa wanapambana na uislamu kweny vita , soma context ya surah hiyo pia endelea mpaka aya ya 99 .ISIPOKUWA
ISIPOKUWA
ISIPOKUWA
ISIPOKUWA
Kwanini kuwe na MASHARTI katika uhuru wa imani ?
Kwanini waamuliwe maisha kwa kigezo cha imani ?
Mkuu, imekatazwa kujadiliana na mjingaImetosha kujua tunajadiliana na mtu wa aina gani
Shukrani
Ujumbe ni ule ule tu, mistari ni mingi mno Mohamed karuhusu kuua wasioaminiIsipokuwa yule aliyejisalimisha , ina maana hao walikuwa wanapambana na uislamu kweny vita , soma context ya surah hiyo pia endelea mpaka aya ya 99 .
😀 😀 😀 😀..Masharti wakati mwenzio anakusambulia .
Samahani,unaweza kufafanua kidogo hapo nini kilisibu kwa huyo dada?Acha kujidanganya hao jamaa mpaka jina unachaguliwa la kizungu unasema kuhama , tumezika sana wakristo waliotengwa na kanisa mtu hata wazazi wake wameshindwa kufika kweny msiba .
Rjea mwaka juzi kule Arusha yule mdada mpaka akazikwa na wadudu .
Kwanza kabisa nikiri kulazomisha ni kanuni ya kidemokrasia.Waweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake.
Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao mtawaita wasioamini ila wao wasichoamini ni kwamba hakuna Mungu ila vidole vyao vinafanya kazi za kuwalisha, kuwavisha, kuwalinda, n.k.
Na kipimo cha imani huwa ni pale mtu anavyopevuka akili akiwa mtu mzima, Utotoni aliamini kwa asilimia kubwa ikiwa ni influence ya imani ya wazazi / walezi, kwamba kama baba anaabudu mizimu, ukristo, uislam, uhindu, n.k. basi na watoto atawaamulia wafuate nyayo zake katika imani.
Mtu haamini ukristo, ataachwa aamini chochote kwasababu huwezi kumlazimisha mtu imani, imani ipo kwenye roho na sio kwenye mwili, ukimlazimisha atasema kwa mdomo anaamini lakini moyoni ni tofauti kabisa, ina faida gani ?
ukihama ukristo sanasana unakosa tu zile huduma za kidhehebu kama kuzikwa kwa mujibu wa taratibu zao, mtu aliyehama imani yafaa zaidi azikwe kwa taratibu za imani aliyohamia. ila hawakudhuru wala kukupa hata kofi wala vitisho, Ni kweli kuna baadhi ya wakristo wakibadili dini hutengwa lakini ikitokea hivyo tayari ni kukiuka misingi ya dini, huwezi kumlazimisha mtu aamini asichoamini.
Shughuli ni pevu sana kwenye uislam
Quran imeweka wazi kwamba mtu akiwa muislam haruhusiwi kuhama dini na kuna adhabu kali akihama, nchi zilizojaa waislam waweza kuuawa, kutengwa, kuabishwa, kufungwa, n.k. Wapo waislam wengi hawaamini lakini wanaogopa kubadili dini, wanaofanikiwa kuhama nchi ndio wanaweza kubadili dinI, Nchi kama Saudi Arabia inafuata sheria za kiislam na kwenye katiba yao ya nchi kuna sheria ya kuua muislam anaebadali dini, Unadhani nani atadiriki kutamka kubadili dini ?,
Kuna mistari kibao inashinikiza kunyanyasa hat kuua wanaobadili dini ama wenye dini zingine, michache ni kama Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
Nchi ambazo ni dola za kiislam zinaminya uhuru wa dini zingine kuabudu, wanataka watu wabudu uislam tu, na ikitokea umekosoa uislam unapewa kesi ya blasphemny, Majuzi tu hapo Palistan kuna baba kapigwa sana nusu afe kwa kuikosoa Quran na kupewa kesi ya Blasphemny, Lakini ni kawaida sana kwa waislam kuukosoa ukristo
View attachment 3007478
Atleast hakuna anaechukua panga kumuua.hujakutana na wakatolik aisee. mtu analaaniwa na familia nzima, kwamba amedharau dini ya wzazi wake
Hilo sharti lenyewe umelielewa lakini? ni amri kwa waislamu kutokuwaua hao! ... yani kweli gaidi anaweza kuambiwa msiwaue waliojikinga nanyi kupitia wale mlio na mikataba nao ya amani? pia walio jisalimisha wasiuliwe.Quran 4:89 >> Wasioamini uislam wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikataa basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.
huo mstari wa 90 umeanza kuweka masharti, kwanini kuwe na masharti ?
Sawa mfuasi wa allah aka shetani na mudiTatizo hauna unalojua mpakwa mafuta.
Upo sahihi kabisa chiefMkuu, imekatazwa kujadiliana na mjinga
Mpotezee
Hakuna kulazimishwa kweny diniSawa mfuasi wa allah aka shetani na mudi
Dini ya shetani allah ni tofauti, imeja upuuzi mwingi sanaHakuna kulazimishwa kweny dini
Dini zisizojiaminiWaweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake.
Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao mtawaita wasioamini ila wao wasichoamini ni kwamba hakuna Mungu ila vidole vyao vinafanya kazi za kuwalisha, kuwavisha, kuwalinda, n.k.
Na kipimo cha imani huwa ni pale mtu anavyopevuka akili akiwa mtu mzima, Utotoni aliamini kwa asilimia kubwa ikiwa ni influence ya imani ya wazazi / walezi, kwamba kama baba anaabudu mizimu, ukristo, uislam, uhindu, n.k. basi na watoto atawaamulia wafuate nyayo zake katika imani.
Mtu haamini ukristo, ataachwa aamini chochote kwasababu huwezi kumlazimisha mtu imani, imani ipo kwenye roho na sio kwenye mwili, ukimlazimisha atasema kwa mdomo anaamini lakini moyoni ni tofauti kabisa, ina faida gani ?
ukihama ukristo sanasana unakosa tu zile huduma za kidhehebu kama kuzikwa kwa mujibu wa taratibu zao, mtu aliyehama imani yafaa zaidi azikwe kwa taratibu za imani aliyohamia. ila hawakudhuru wala kukupa hata kofi wala vitisho, Ni kweli kuna baadhi ya wakristo wakibadili dini hutengwa lakini ikitokea hivyo tayari ni kukiuka misingi ya dini, huwezi kumlazimisha mtu aamini asichoamini.
Shughuli ni pevu sana kwenye uislam
Quran imeweka wazi kwamba mtu akiwa muislam haruhusiwi kuhama dini na kuna adhabu kali akihama, nchi zilizojaa waislam waweza kuuawa, kutengwa, kuabishwa, kufungwa, n.k. Wapo waislam wengi hawaamini lakini wanaogopa kubadili dini, wanaofanikiwa kuhama nchi ndio wanaweza kubadili dinI, Nchi kama Saudi Arabia inafuata sheria za kiislam na kwenye katiba yao ya nchi kuna sheria ya kuua muislam anaebadali dini, Unadhani nani atadiriki kutamka kubadili dini ?,
Kuna mistari kibao inashinikiza kunyanyasa hat kuua wanaobadili dini ama wenye dini zingine, michache ni kama Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
Nchi ambazo ni dola za kiislam zinaminya uhuru wa dini zingine kuabudu, wanataka watu wabudu uislam tu, na ikitokea umekosoa uislam unapewa kesi ya blasphemny, Majuzi tu hapo Palistan kuna baba kapigwa sana nusu afe kwa kuikosoa Quran na kupewa kesi ya Blasphemny, Lakini ni kawaida sana kwa waislam kuukosoa ukristo
View attachment 3007478