Unaweza lazimisha mwili kutenda lakini huwezi kulazimisha Imani, Kwanini uislam unalazimisha imani ?

Unaweza lazimisha mwili kutenda lakini huwezi kulazimisha Imani, Kwanini uislam unalazimisha imani ?

Ndio katiba yao sio kila nchi inafuata demokrasia ndio tatioz lenu , sheria ipo kweny ngazi ya juu ya nchi ndio wanatumia katiba hiyo , hakuna ulazima fanya kuhama basi nchi nyingine.

Fauta katiba sio kila kona wanafuata wazungu kweny sheria zao , wanachokataa ni nyie mkibadili kama wanawake wanaanza kutembea uchi kinyume na maadili yake , ushoga , ubakaji

Katiba gani hii, mna uchafu mwingi sana nyie watu...


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 
Jaribu kuwa na heshima kidogo basi, mijadala ya kidini si ya kila mtu,hapa wanatakiwa watu wenye kujielewa na wakomavu

Kama ni mtu ambaye hisia zako ni za kitoto waache wengine wqjadili kwa hekima
Nimezungumza hayo kwa heshima kubwa sana kuwa allah wa kwenye qur an ni mwehu.
 
Hata kuenea kwake walieneza kwa kung'ang'aniza watu wauamini. Ndio maana hata sasa makundi yanayojinasibu yanapambania imani hiyo yanaitwa makundi ya kigaidi
 
In English:

The Qur'an says in Surah 3, Ayah 19, 'Indeed, the true religion in the sight of Allah is Islam.' Now, provide a verse that confirms other religions are accepted by Allah, and if you cannot, then let's end this thread.

Kwa Kiswahili:

Qur'an inasema katika sura ya 3 ayah nambari 19, " Hakika dini ya haki na inayokubaliwa mbele ya Allah ni uislam",
Sasa lete aya inayokuthibitishia kuwa hizo dini zingine zinakubaliwa mbele ya Mwenyezi Mungu, na ukikosa basi funga mjadala huu.

En France:
Le Coran dit dans la Sourate 3, verset 19 : 'En vérité, la religion acceptée par Allah est l'Islam.' Maintenant, fournissez un verset qui confirme que d'autres religions sont
acceptées par Allah, et si vous ne pouvez pas, alors terminons cette discussion.


العربي:
يقول القرآن في سورة 3، آية 19: 'إن الدين عند الله الإسلام.' الآن، قدم آية تؤكد قبول الأديان الأخرى عند الله، وإذا لم تستطع، فلننهي هذا النقاش.
 
Acha kujidanganya hao jamaa mpaka jina unachaguliwa la kizungu unasema kuhama , tumezika sana wakristo waliotengwa na kanisa mtu hata wazazi wake wameshindwa kufika kweny msiba .

Rjea mwaka juzi kule Arusha yule mdada mpaka akazikwa na wadudu .

Watu kama hawana imani ni mtihani sana

Najivunia mno mno kuwa Muislamu
 
Acha kupotosha, alichosema mtume Mohammad akiwa vitani, akiwa safarini, akiwa nyumbani kwake, n.k ndicho kinachofatwa, Alishatoa kibali muislam inabidi apigwe mapanga akibadili dini, Simple like that
Soma mwanzo ni kuelekea vita ya uhud , kuwa elimu kidogo hapo kuna usaliti unatakiwa usome sio kubadili dini .

Unatakiwa usome Ayah hiyo imetokana na nn ? Context ni maziingira ya vita watu ndio walitaka kuangamiza uislamu kwa vile wao walitoka kweny group basi walitaka kulazimisha waislamu nao wafuate wao .

Ina maana kuwasaliti na kuwapiga vita waislamu , huu ni uadui ni ugaidi dhidi ya uislamu lazima wapamnane .

Una jingine?
Nionyeshe ayah mtu akibadili dini auliwe , naslimu hapo !
 
Soma mwanzo ni kuelekea vita ya uhud , kuwa elimu kidogo hapo kuna usaliti unatakiwa usome sio kubadili dini .

Unatakiwa usome Ayah hiyo imetokana na nn ? Context ni maziingira ya vita watu ndio walitaka kuangamiza uislamu kwa vile wao walitoka kweny group basi walitaka kulazimisha waislamu nao wafuate wao .

Ina maana kuwasaliti na kuwapiga vita waislamu , huu ni uadui ni ugaidi dhidi ya uislamu lazima wapamnane .

Una jingine?
Nionyeshe ayah mtu akibadili dini auliwe , naslimu hapo !
Ni kitu kile kile tu, Mtume kashaagiza sehemu kibao kuua wanaobadili dini, huwezi kutetea kitu ambacho kakishinikiza mara nyingi

Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
 
Naanzaje kupoteza muda kuhangaika na maandishi ya mpuuzi allah na shoga wake mudi?
Sasa mpumbavu hujui kitu halafu hautaki kujifunza . Nani apoteze muda wake ?
Ni kitu kile kile tu, Mtume kashaagiza sehemu kibao kuua wanaobadili dini, huwezi kutetea kitu ambacho kakishinikiza mara nyingi

Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
Hauna hoja maana huleti ayah ni maneno ya kutunga , ipo aya inasema ''Nyie mna dini yenu na sisi tun dini yetu'' Hap watu walimfuata mtume akafanye ibada kweny Miungu yao , huo hayo ndio maelekezo alipewa awajaibu.

Hkuna ayah zaidi ya wale wanaobadili na kupigana vita na waislamu kwa kutaka watoke kweny uislamu
 
Sasa mpumbavu hujui kitu halafu hautaki kujifunza . Nani apoteze muda wake ?

Hauna hoja maana huleti ayah ni maneno ya kutunga , ipo aya inasema ''Nyie mna dini yenu na sisi tun dini yetu'' Hap watu walimfuata mtume akafanye ibada kweny Miungu yao , huo hayo ndio maelekezo alipewa awajaibu.

Hkuna ayah zaidi ya wale wanaobadili na kupigana vita na waislamu kwa kutaka watoke kweny uislamu
Sina hoja kivipi, wewe kiri tu kwamba huwezi kujitetea.

Haya ni maneno ya Muhamed

Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
 
Mtoa mada utakuwa umekariri tu.

KUNA MWENETU MMOJA MKATOLIKI ALISILIMU NA KUWA MUISLAMU BASI FAMILIA YAKE WALICHACHAMAA SANA MIXER KUMTENGA.! WAKIAMINI ANATAKA KWENDA KUJIFUNZA UCHAWI ILI AWAOROGE ACHUKUE MALI.!! ILA AKAWAAMBIA MIMI SINA SHIDA NA MALI ZENU BALI NIMEPENDA TU KUWA MUISLAMU

JAMAA WALIMTEMTENGA MPAKA AKAWA NA STRESS KUBWA SANA HIVI TUNAVYOONGEA HUWA ANAPELEKWA SANA SOUBER HOUSE.
 
Ni kitu kile kile tu, Mtume kashaagiza sehemu kibao kuua wanaobadili dini, huwezi kutetea kitu ambacho kakishinikiza mara nyingi

Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
Msisitizo kwa watakaogeuka na kupigana na waislamu , kipind hiko ni cha vita , kumbuka waliosaliti na kuondoka na kikosa kitu kilichosbabisha waislamu kushindwa vita .

Yeyote enzi hizo akitoka basi atajiunga na maadui na kuupiga vita uislamu , akianza tu basi watu wanamaliza maana ni vita hiyo ..
 
Mtume Mohammad.... Surat An-Nisa' [4:89 >> WAISLAM WATAOBADILI DINI, MUWAKAMATENI NA KUWAUA POPOTE MTAPOWAKUTA
Ndo maana nikasema tatizo ni kuongelea usichokijua ama ni mpango maalumu wa kupotosha ukweli.

Soma tafsiri ya hiyo aya hapo chini halafu nikuulize kitu, mkiwa katika vita halafu akatokea mtu katika upande wa maadui akasema mimi ni mwenzenu lakini hataki kuwa pamoja nanyi bali yupo miongoni mwa maadui zenu, then huyo mtu ajifanye anataka kuwasaidia we utafanyaje? ... hebu jiangalie jinsi ulivojificha sehemu ya wazi kabisa!

(Quran 4:89)
They wish you would disbelieve as they disbelieved so you would be alike. So do not take from among them allies until they emigrate for the cause of Allah . But if they turn away, then seize them and kill them wherever you find them and take not from among them any ally or helper.

(Quran 4:90)
Except for those who take refuge with a people between yourselves and whom is a treaty or those who come to you, their hearts strained at [the prospect of] fighting you or fighting their own people. And if Allah had willed, He could have given them power over you, and they would have fought you. So if they remove themselves from you and do not fight you and offer you peace, then Allah has not made for you a cause [for fighting] against them.
 
Sina hoja kivipi, wewe kiri tu kwamba huwezi kujitetea.

Haya ni maneno ya Muhamed

Sahih al-Bukhari, 9:83:17 > Mtume Muhammad alisema "Damu ya muislam anaekiri hakuna wa kuabudiwa zaidi ya Allah na mimi ni mtume hairuhusiwi kumwagwa isipokuwa kwa sababu tatu: Kaua, mwanandoa kuzini na pale inapotokea muislam kubadili dini
Akigueka na kupigana vita na waisamu , kupambana kwa kusambaza taarifa za uongo juu ya uislamu .....Kuacha battle hata leo unasikia askari wanahukumiwa kunyongwa kwa kukimbia vita .. Hao ni wasaliti wataenda kutoa siri.
 
Msisitizo kwa watakaogeuka na kupigana na waislamu , kipind hiko ni cha vita , kumbuka waliosaliti na kuondoka na kikosa kitu kilichosbabisha waislamu kushindwa vita .

Yeyote enzi hizo akitoka basi atajiunga na maadui na kuupiga vita uislamu , akianza tu basi watu wanamaliza maana ni vita hiyo ..
acha kujitetea kwa maneno matupu,
 
Ndo maana nikasema tatizo ni kuongelea usichokijua ama ni mpango maalumu wa kupotosha ukweli.

Soma tafsiri ya hiyo aya hapo chini halafu nikuulize kitu, mkiwa katika vita halafu akatokea mtu katika upande wa maadui akasema mimi ni mwenzenu lakini hataki kuwa pamoja nanyi bali yupo miongoni mwa maadui zenu, then huyo mtu ajifanye anataka kuwasaidia we utafanyaje? ... hebu jiangalie jinsi ulivojificha sehemu ya wazi kabisa!

(Quran 4:89)
They wish you would disbelieve as they disbelieved so you would be alike. So do not take from among them allies until they emigrate for the cause of Allah . But if they turn away, then seize them and kill them wherever you find them and take not from among them any ally or helper.

(Quran 4:90)
Except for those who take refuge with a people between yourselves and whom is a treaty or those who come to you, their hearts strained at [the prospect of] fighting you or fighting their own people. And if Allah had willed, He could have given them power over you, and they would have fought you. So if they remove themselves from you and do not fight you and offer you peace, then Allah has not made for you a cause [for fighting] against them.
Quran 4:89 >> Wasioamini uislam wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikataa basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.

huo mstari wa 90 umeanza kuweka masharti, kwanini kuwe na masharti ?
 
Back
Top Bottom