ndivyo inavyotakiwaKuna wale wanajaza wali, hua nashangaa sana kwan makwao hua hawali?
Kwenye sherehe hua nachukua kitu ambacho kwa mazingira yangu hua n vigumu kupata mfano labla samaki na hasahasa bites na sio kujaza wali.
Ni wewe tu na speed yako,karibu sana.Kipo cha kutosha?
Nimezingatia Tajiri. Nawaachia myamalize ila najua Kaka Lukas atarudi na kilio tu.Mambo yetu tuachie sisi wenyewe yatakuumiza kichwa bure🤸
Ukinywa maziwa,wanakuuliza "Kwani umekunywa sumu?"Pia uswahilini ukioga mchana unaulizwa unakwenda wapi?
😂 Hawezi kulia Lucas ni don't care anaamini mimi na yeye mioyo yetu imeunganishwa na upendoNimezingatia Tajiri. Nawaachia myamalize ila najua Kaka Lukas atarudi na kilio tu.
Ile laki 5 ya kua Platinum member alikupa? Au alikwambia usubiri mpaka baada ya uchaguzi wakishalipwa hela za uchawa?😂 Hawezi kulia Lucas ni don't care anaamini mimi na yeye mioyo yetu imeunganishwa na upendo
Aliniambia anashughulikia niwe platinum memberIle laki 5 ya kua Platinum member alikupa? Au alikwambia usubiri mpaka baada ya uchaguzi wakishalipwa hela za uchawa?
Basi ana kipaji Cha Hali ya juu😂 Hawezi kulia Lucas ni don't care anaamini mimi na yeye mioyo yetu imeunganishwa na upendo
Bwana L alikua mgumu sana yupo serious sijui ikawaje akadata na maandishi yanguBasi ana kipaji Cha Hali ya juu
Bwana L alikua mgumu sana yupo serious sijui ikawaje akadata na maandishi yangu
Mimi huwa nacheka tu
Kwa hili neno kubabandeki nimejua kuwa wewe ni mhenga mwenzangu .Unakuta mtu anapiga anapiga weeh,anapiga tu misscall 10,hapo we hupokei labda uko na Boss mnaongea mambo ya maana kikazi,
Unajiuliza huyu jamaa ananidai hapana.
Unamshtua boss nna udhuru ngoja nipokee nakuja.
Khee unapokea jitu linaanza kukufokea.
Mi napiga hupokei mara zote hizo.
Ongea unasemaje? linajichekesha eeh "nilikua nakusalimia tu"
Kubababandeki,malaka maleke,maluku🤢
Unatamani lingekua karibu ulizabue makofi aisee.
Unarudi bosi anauliza vp kuna tatizo.
Inabidi useme yah nishamaliza.
Kumbe tatizo ni matako mmoja anasumbua tu ili agongee umtoe.
Anaigiza yule tajiriiiLakini ujue L Yuko serious, tafadhali usiurarue moyo wake.
Anaigiza yule tajiriii
Akifanya hivyo nitaona kweli yupo seriousAtakushangaza soon Kwa kuku upgrade uende Platinums ndio ujue L yuko serious na anamaanisha. Unataka afanye nini tena upate kusadiki maneno yake?
Umenena vyema. Mambo ya msingi kabisa1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................
Ogopa utapeli..1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4. Ukikopeshwa pesa, unaporudisha kama ni kwa njia ya simu hakikisha unaongeza na kiasi cha makato atayokatwa wakati anatoa au mpe cash.
5. Ongezea................