Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hana lolote huyo (na yeye ni kama wale anaowashangaa) anajaribu tu kupima upepo humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana lolote huyo (na yeye ni kama wale anaowashangaa) anajaribu tu kupima upepo humu.
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?
Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .
Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma
Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!
Nitajie mbunge mmoja mkristo.Hana lolote huyo (na yeye ni kama wale anaowashangaa) anajaribu tu kupima upepo humu.
Ameanza kuwa mchawi ccm wampe kitengo cha kuwashughulikia wapinzani ili nafsi yake iponeNimemwangalia Lijulikani nimesikitika sana! taifa limegawanyika aisee!
Alikuwepo Mch. Mama Getruda Lwakatare.
Siku moja mbunge mmoja alikuwa anachangia kwa style hii waliyoitumia Msukuma na Lijualikali ya kubeza na kuunga mkono utwezaji wa UTU wa binadamu wengine.
Huyo mama tena mkristo mchungaji mwenye kundi kubwa la kondoo analolichunga, akawa anacheka na kugonga meza kwa nguvu kama ishara ya kuunga hoja hiyo ya uhaini dhidi ya ubinadamu.
Haikuchukua muda mrefu, hukumu ya kifo ilimfuata humohumo. Sasa nadhani atakuwa amekwisha kuoza na kuchanganyikana na udongo.
Mungu hadhihakiwi hata kidogo!
Pale hakuna hofu ya Mungu, roho ya shetani imekolea mioyoni mwa watuKuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?
Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .
Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma
Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!
Mzee kumbe kuna muda unatema madini eeh...Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?
Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .
Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma
Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!
Kama mtu anatumia kodi ya wamachinga na mama ntilie kulewa alafu anakuwa mbwii na ananguka na kuvunja mguu huyo ni wa kumhurumia?Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?
Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .
Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma
Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!
R.I.H Mama MchungajiAlikuwepo Mch. Mama Getruda Lwakatare...
Siku moja mbunge mmoja alikuwa anachangia kwa style hii waliyoitumia Msukuma na Lijualikali ya kubeza na kuunga mkono utwezaji wa UTU wa binadamu wengine...
Huyo mama tena mkristo mchungaji mwenye kundi kubwa la kondoo analolichunga, akawa anacheka na kugonga meza kwa nguvu kama ishara ya kuunga hoja hiyo ya uhaini dhidi ya ubinadamu...
Haikuchukua muda mrefu, hukumu ya kifo ilimfuata humohumo. Sasa nadhani atakuwa amekwisha kuoza na kuchanganyikana na udongo....
Mungu hadhihakiwi hata kidogo...!!
Ha ha ha,hela kwanza mzee,dini baadae,,Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?
Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .
Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma
Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?
Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .
Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma
Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!