Unaweza usiamini kama bungeni kuna wabunge Wakristo

Unaweza usiamini kama bungeni kuna wabunge Wakristo

Lijuakali.....Silinde.....Msukuma.....Lusinde hakuna kulala hahahhah
 
Kama mtu anatumia kodi ya wamachinga na mama ntilie kulewa alafu anakuwa mbwii na ananguka na kuvunja mguu huyo ni wa kumhurumia?
Mijitu ambayo ipo bungeni kutetea maslahi ya mabeberu badala ya maslahi ya taifa ni ya kuhurumia?
Hata Israel alipozaliwa masihi hawana huruma na watu kama hawa.
Duh....!

Wewe utakuwa pagani.........ukristo hauhukumu!
 
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.

Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?

Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .

Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma

Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele

Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.

Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama!
Wabunge wa ccm ni kikundi cha mafashist
 
Usisikitike lijuakali kasoma upepo kaona mwisho wake alafu kagundua kuwa jamaa ni boya anapenda misifaa na kuua watu. akaona isiwe taabu na yeye ajiunge kwenye hilo kundi la kusifu na kuabudu kama akina spika ambao wamesahau hata majukumu ya bunge.
Nimemwangalia Lijulikani nimesikitika sana! taifa limegawanyika aisee!
 
Nimejikita kwenye dini yangu ambayo naielewa vizuri Ukristo!

Hata Uislamu unahubiri Upendo na amani bwashee!
Leo kwa Mara ya kwanza nimekutafakari kwa kina na kukuelewa tofauti. Nadhani hata baadhi ya maandiko yako huwa ni katika hali ya kisiasa tuu lakini huna roho ya korosho kama nilivyo dhani awali.

Kama kweli iishivyo, na Mbowe yupo kitandani anaugulia maumivu makali namna ile na bado wenzake (wabunge) wapo wanaosimama na kumkejeli kwa vijembe na matusi kwa ruhusa ya Spika basi Mungu atatenda jambo ASAP kabla hata bunge hili halijavunjwa wiki ijayo ili mafundisho yake yapate kutimia.

Nimeona sura ya PM Majaliwa akiwasikiliza kina Lijualikali kwa mshangao na majonzi lakini Spika akichekelea na kuchombeza bila aibu.
Baba wa mbinguni twajua yaweza kuwa Mbowe ni mdhambi kama sisi wanadamu tulivyo, lakini twajua amejitoa kwa mengi sana kwa watu wako kuliko sisi. Usiache maumivu ya kejeli hizi yapite hivihivi bila kumjibia kwa waliotoa kejeli nao kuwapa vilio vya uchungu kabla hatujasahau.

Amen
 
Israel watu kama hawa wanapigwa mawe. Yesu mwenyewe alibinuwa meza baada ya watu kuliharibu hekalu na kulifanya soko.
Waisrael makatili wale, yaani eti Hitler alivyowatesa na kuwaua, wakaja kulipa kisasi hadi uzao wa tatu, kuna maofisa wa Hitler na family zao walikimbilia brazil kujificha, jamaa waliwasaka kwa miaka 50 na kuwafyeka wote, sijui wana roho ya kikatili sana hawa.
 
Waisrael makatili wale,,yaani eti hitler alivyowatesa na kuwaua,,wakaja kulipa kisasi hadi uzao wa tatu,,kuna maofisa wa hitler na family zao walikimbilia brazil kujificha,,jamaa waliwasaka kwa miaka 50 na kuwafyeka wote,sijui wana roho ya kikatili sana hawa.
Sio ukatili ni principle. Ambayo karibu nchi zote duniani wamerithi. Inaitwa Elimination of obstacles to progress. Kama aliuwa ndugu zao wakati wa Hitler lazima nae amelizwa tena kizazi chake chote.
 
Kwa hiyo na wewe unakubali between the line kuwa mbowe alikuwa amelewa
Unatuona sisi maboya na uzi wako wa kipuuzi
Huna tofauti na mtoto mchele mchele juakali
Mtoto pesa zinamtoa ubinadamu
Soon tutaelewana wapuuzi nyie
 
Kwa hiyo na wewe unakubali between the line kuwa mbowe alikuwa amelewa
Unatuona sisi maboya na uzi wako wa kipuuzi
Huna tofauti na mtoto mchele mchele juakali
Mtoto pesa zinamtoa ubinadamu
Soon tutaelewana wapuuzi nyie
Mkuu wala sio siki nyingi kuna watu watajutia sana matendo yao.
Luna Mudhihiri Mudhihiri walikuwa na kejeli sana leo yuko wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.

Tena huwa najiuliza ,....kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?

Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzikati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .

Huya Tundu Lisu kafukuxwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma

Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele

Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema " yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.

Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama!
Mimi nawaonea burundi wivu kwa kufiwa na rais wao,sijui kwanini
 
Zama Zile,
Sisi Wanafunzi au Wafuasi wa Yesu Kristo, ambao tunaitwa kwa jina lake yaani Wakristo, tumebaki wachache sana.
Zama hizi wengi ni Wanafunzi au Wafuasi wa mtu anayeitwa Yesu Money. Na Wanafunzi wake wanaitwa Wamoney.
Wamoney ndio wenye Vyeo vyote unavyovisikia. Wakristo hawana Vyeo kwani wanaangalia Njia Ya Msalaba wa Yesu Kristo na hatima yao kwake.
Wao wanamsubiri Mfalme wa Wafalme ili awarithishe Ufalme wa Mbingu.
Wako tayari kwa lolote lile lakini wana amini Makazi yao sio ya Dunia hii.
Makazi yao ni katika Mji wa Yerusalem Mpya.
We endelea Kula, Kunywa na Kucheza Rhumba, Wakristo wapo juu ya hayo mnayowazia.
Ni kama mywa pombe anavyo mwangalia mtoto anayemung'unya Pipi.
 
Bwana mkubwa mie siangaliagi sasa hivyo nahisi na amani, hata TV naangalia tamthilia tu. Nimechoka kusikia watu wakitaja kwa kushindana jina la mtu mmoja tu, na wala awahisi ganzi.

Wewe naona tunaendana. Sasahivi ni mwendo wa sultan tu na tamthilia nyingine. Mimi media nimeacha kutambo kabisa
 
Back
Top Bottom