Unaweza usiamini kama bungeni kuna wabunge Wakristo

Unaweza usiamini kama bungeni kuna wabunge Wakristo

Alikuwepo Mch. Mama Getruda Lwakatare...

Siku moja mbunge mmoja alikuwa anachangia kwa style hii waliyoitumia Msukuma na Lijualikali ya kubeza na kuunga mkono utwezaji wa UTU wa binadamu wengine...

Huyo mama tena mkristo mchungaji mwenye kundi kubwa la kondoo analolichunga, akawa anacheka na kugonga meza kwa nguvu kama ishara ya kuunga hoja hiyo ya uhaini dhidi ya ubinadamu...

Haikuchukua muda mrefu, hukumu ya kifo ilimfuata humohumo. Sasa nadhani atakuwa amekwisha kuoza na kuchanganyikana na udongo....

Mungu hadhihakiwi hata kidogo...!!
Ukiona bunge lina wachungaji lakini kuna vitu vya msingi hawavisimii ujue ni ukristo wa fasheni. Kipindi cha bunge la katiba walikuwa radhi waganga wa jadi ( wachawi) wawe na uwalishi bungeni bila wao kupigia chapuo makundi yote ya wakristo yaingie kutetea ajenda walizokubaliana ktk kikao.
 
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.

Tena huwa najiuliza.... kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?

Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzi kati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .

Huya Tundu Lisu kafukuzwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma

Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele

Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema "yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.

Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama!
Wale wa chama chakavu ni [emoji48] worshipers
 
Ukiona bunge lina wachungaji lakini kuna vitu vya msingi hawavisimii ujue ni ukristo wa fasheni. Kipindi cha bunge la katiba walikuwa radhi waganga wa jadi ( wachawi) wawe na uwalishi bungeni bila wao kupigia chapuo makundi yote ya wakristo yaingie kutetea ajenda walizokubaliana ktk kikao.
Nimekuelewa bwashee!
 
Kwa hiyo na wewe unakubali between the line kuwa mbowe alikuwa amelewa
Unatuona sisi maboya na uzi wako wa kipuuzi
Huna tofauti na mtoto mchele mchele juakali
Mtoto pesa zinamtoa ubinadamu
Soon tutaelewana wapuuzi nyie
Bwashee ukinisoma huku unakunywa mbege huwezi kunielewa kwa sababu utakuwa unatafsiri kimbegembege!
 
Ukiristo sio jina au kusema mimi ni mkiristo bali matendo yako siyo vizuri kuhusisha ukiristo na wale wasiofata matendo ni vizuri ungeuliza katika bunge kuna watu wananhofu ya Mungu
 
Kuna nchi ulaya kila mwaka huwa wanaweka shindano la kutafta mtu muongo zaid, ila kwenye ilo shindano hawaruhusiwi wanasiasa na mawakuli(wanasheria) maana hawa wanajulikana tu sio waongo tu bali niwanafiki. Ata yule mnaeisi leo ni bora akiingia madarakan na yeye atafanya huo huo ujinga wao ufanya waliomo
 
johnthebaptist, Kama haya yanatoka moyoni mwako, hakika katika Safari ya peponi utakuwa nami!
Ndugu huyu kazungumza ya moyoni, kuwa mfuasi wa ccm haimaanishi hutaki haki au huna upendo, hapana!
Ukristo ni upendo unaoheshimu sheria ya maumbile( maadili+ fadhila+ haki)
Kama kiongozi ukiyakosa hayo ni ngumu kuongoza hata familia

Jana nilikuwa naangalia kama wazir mkuu naye alikuwa anashangilia kama job na mawaziri wengine
Wazir mkuu alijichekesha kwa kuibia yaani zile tuhuma zilipangwa zitokee kule ili ccm wafurahie kwani hivyo ni vita vya panzi

Ndiyo maana bunge la marekani kuna chaplain(kwa sasa ni padre wa kikatoliki) kazi yake kuwashauri wabunge privately na kusaidia debate kuwa za kistaharabu zinazoheshimu sheria ya maumbile

Pole tz yetu
Wamesahau hata sala waliisali kabla ya kuanza kikao cha bunge


Spika ndiyo shenzi wa head
 
Azimio la kupongeza kiongozi
Kutukuza ubinadamu na kudharau umungu
Lini watajadili na kupitisha azimio la kumpongeza Mungu?
Kanisa katoliki na uzuri wa mapapa hata siku moja hawajawahi hata lile baraza la kipapa pale vatican hawajawahi kuazimia hivyo
Anayeazimia hivyo ni Mungu kwa kueleza utumishi, uheri na utakatifu wa mtu huyo hivyo kanisa kushuhudia tu utendaji wa Mungu
Bunge si kazi yake kutoa maazimio ya kuunga au kupongeza na kuacha maazimio yq kurekwbisha sheria, kanuni mbovu pamoja na utendaji wa hovyo wa tanpol na tiss
Ukristo huko majumbani kwao wakirudi nyumbani
 
Nimemwangalia Lijulikani nimesikitika sana! taifa limegawanyika aisee!
Kwa kweli luna Matapeli wakubwa wa Siasa sikutegemea kabisa kwamba Silinde is essentially that low...leo anaiona Chadema haifai baada ya kuona kupitia chama hicho hawezi pata ulaji wa kuwa Mbunge tena. Mavi yake
 
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.

Tena huwa najiuliza.... kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?

Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzi kati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .

Huya Tundu Lisu kafukuzwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma

Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele

Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema "yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.

Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu bwashee,

Ama hakika nakuambia umelitendea haki jina lako.

Kweli roho wa bwana ananguvu,anaweza ingia hata kwa shetani na kumuamuru kutenda mema.

Ujumbe wako ni wakiutumishi kwa Mungu,umenena katika kweli na kueleza kukengeuka kwa hao wabunge.

Sio kwa wakristo tu, hata waislam hawaungi mkono unafiki na uzandiki.
 
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.

Tena huwa najiuliza.... kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani?

Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzi kati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda .

Huya Tundu Lisu kafukuzwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma

Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele

Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema "yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.

Ndiposa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama!
Bunge letu wakati mwingine utadhani ni la watu wasiojitambua.Suala la Mbowe hata kam hapendwi lisizungumzwe kwa mzaha kwa namna hiyo
 
Back
Top Bottom