Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Hiyo sio kaziMi mwenyewe siwezi kuwa boda ila siwezi kukashifu au kudharau kazi ya mtu.
We unaloWatu wana migorofa kwa bodaboda bwashee
Inalipa kichizi
Ulitaka awe jambazi aje kukuua na kukupora?Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Kijana jiheshimu! Shughuli yoyote halali ni kazi ili mradi mkono uende kinywani. Watu tunasomesha na tumejenga kwa shughuli hii hii ya bodaboda.Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Kaa kimya wewe mtoto wa Masaki. Hujui shida wewe. Hujui dhiki wakishua wewe..Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Hakuna mtanzania anaejua shida shida ipo Palestine gazaKaa kimya wewe mtoto wa Masaki. Hujui shida wewe. Hujui dhiki wakishua wewe..
Hiyo sio kazi tafuta kaziKijana jiheshimu! Shughuli yoyote halali ni kazi ili mradi mkono uende kinywani. Watu tunasomesha na tumejenga kwa shughuli hii hii ya bodaboda.
Betting tu ndio wanategemea vijana wa siku hiziKaa kimya wewe mtoto wa Masaki. Hujui shida wewe. Hujui dhiki wakishua wewe..
Watu wana dharau sanaUlitaka awe jambazi aje kukuua na kukupora?
For so long as it helps someone to make ends meet, it's a job. Better being a "bodaboda" rider than a robber.Hiyo sio kazi
Hao bodaboda ndio wakabaji namba 1For so long as it helps someone to make ends meet, it's a job. Better being a "bodaboda" rider than a robber.
Hiyo sio kaziAcha dharau mkuu na kazi za watu.
Sawa ndugu.Jambazi ni kazi nzuri sana ukitumia akili ila sio bodaboda kuhangaika na buku
Bora betting ila sio kuwa bodaboda kuhangaikia buku ambayo itakuletea ukilema dakika 1 yaani ukatwe miguu kisa buku akili Gani hiiBetting tu ndio wanategemea vijana wa siku hizi