Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
Mtoto wa CEO na DG huzijui shida wewe. Haujawahi kushindia t-shirts mbili mwaka mzima..Hakuna mtanzania anaejua shida shida ipo Palestine gaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa CEO na DG huzijui shida wewe. Haujawahi kushindia t-shirts mbili mwaka mzima..Hakuna mtanzania anaejua shida shida ipo Palestine gaza
Bodaboda zimeua ndugu zangu km 10 mpaka sasa hivi wa mwisho alipona ila alifungwa machuma miguu yote alipigwa push na fuso ilikua na yeye awe amekufa ila yule roho ngumu kapona karudi tena kuendeshaKaa kimya wewe mtoto wa Masaki. Hujui shida wewe. Hujui dhiki wakishua wewe..
Kwenye msafara wa mamba, kenge pia wamo..Hao bodaboda ndio wakabaji namba 1
Kazi maana yake nini dogo? Au mpaka uvae tai ukae nyuma ya pc?Hiyo sio kazi tafuta kazi
Wewe narudia tena hiyo sio shida bado hujui shida shida ipo Gaza sio tanzania ukiwa tanzania wewe ni mayai mayai tu ushindwe mwenyewe kutoboaMtoto wa CEO na DG huzijui shida wewe. Haujawahi kushindia t-shirts mbili mwaka mzima..
Akili Gani hii
Watoto wa Masaki hao mboga saba hawajui dhiki..Kazi maana yake nini dogo? Au mpaka uvae tai ukae nyuma ya pc?
Wanadharau kazi inayotulisha na kulisha familia. Hizi kauli huwezi kuzitoa kama hukai kwa shemeji yako.Kijana jiheshimu! Shughuli yoyote halali ni kazi ili mradi mkono uende kinywani. Watu tunasomesha na tumejenga kwa shughuli hii hii ya bodaboda.
Sio rahisi kumkuta mshabiki wa arsenal na Simba kua na akili wengi uelewa wao ni mdogo sanaa......Huwa nashangaa sana unakuta mtu anakuambia. Nalisha familia kupitia hii bodaboda aisee ukicheki yeye mwenyewe alivyojichokea sijui hiyo familia yake itakua katika Hali Gani mpaka kumruhusu ndugu Yao kuingia barabarani kucheza na moto ambao hautozimika ukimkumba maana bodaboda ni kitendo Cha dakika 1 unaitwa kilema au maiti, hii kazi siwezi kuifanya
Akafanye kazi nyingine.Ulitaka awe jambazi aje kukuua na kukupora?
Acha uongo, Nani kajenga ghorofa kwa bodaboda?Watu wana migorofa kwa bodaboda bwashee
Inalipa kichizi
All drivers are prone to traffic/road accident. Hiyo ni ajali tu kama ajali zingine za barabarani mkuu..Vijana wapumbavu hawatakuelewa.
Nilitaka kuleta Uzi leo kuhusu jambo hili , thanks umeniwahi.
Bodaboda leo asubuhi kaburuzwa na daladala mataa ya Vingunguti.
Niliidharau sana kazi ya bodaboda. Ni heri mtu auze mishikaki ya mia mia
Huko kwingine huwa hakuna ajali?Akafanye kazi nyingine.
Takwimu hazidanganyi.
Boda wanasagwa sana hapa town
Leo nimeshuhudia ajali boda kasagwa
Hiyo sio kaziVijana wapumbavu hawatakuelewa.
Nilitaka kuleta Uzi leo kuhusu jambo hili , thanks umeniwahi.
Bodaboda leo asubuhi kaburuzwa na daladala mataa ya Vingunguti.
Niliidharau sana kazi ya bodaboda. Ni heri mtu auze mishikaki ya mia mia
Anatuona wote wendawazimu.Kamshahara ka kwanza kanakufanya uanze kudharau kazi za watu